27/03/2025
All the best TYDO Sports Academy
FAINALI YA LIGI YA WATOTO U16 BUKOBA 2025.
Ni mchezo unaosubiliwa kwa hamu na wananchi wa Bukoba, Mkoani kagera,
Fainal hii itazikutanisha team mbili za watoto wadogo wenye umri chini ya miaka 16 kutoka Bukoba,
Tydo Academy U16 inapatikana ndani ya Kata ya Kashai watakuwa Nyumbani wakimkalibisha Kagera Uited kids katika uwanja wa Kashai Shule ya msingi.
Mchezo huu utachezwa siku ya Jumamosi tarehe 29/03/2025 Saa 10 kamili jioni.
Usipange kukosa, usipange kusimuliwa, fika ujionee talanta za watoto wadogo.