03/05/2026
Tulifanya, tukajifunza, tukahamasika!
Webinar yetu ya “Vijana na Uchumi wa Kijani” imefanyika kwa mafanikio makubwa LIVE kupitia TikTok pamoja na washiriki waliokuwepo ukumbini FTI Arusha.
Tulijadili fursa za ajira, ubunifu wa kijani, na namna vijana wanavyoweza kugeuza mazingira kuwa chanzo cha kipato. 🌱💼
Tunawashukuru sana wazungumzaji wetu, washiriki wote online na offline kwa mchango wenu mkubwa. Hii si mwisho—ni mwanzo wa hatua mpya!
•Endelea kufuatilia kurasa zetu kwa “Vol. 2” inayokuja hivi karibuni.
•Usibaki kuwa mtazamaji, kuwa sehemu ya mabadiliko!