13/05/2025
Shaloom shaloom ndugu zangu, na wana Mungu:
Kuna Mambo kadhaa ya kujifunza Kwa Ayubu
1) kumcha Bwana, kuwa na moyo unaomulea Bwana ': Ayubu 1:1,3
2) Hakuweka moyo Wake kwenye vitu, Yani Mali zake : k**a Ayubu angeweka moyo Wake kwenye mali angekufa kwa presha wasi shatani maan kila kitu kili teketea: watoto ,ngamia ; n,k lakini bado alimtaza Mungu :; Ayubu 1:13,20;:
3) kuokoka (kumcha Bwana) hakukuzuii usiingie kwenye majaribu Bali unapata nguvu za kuyashinda majaribu:: Isaya 41:10 isaya 43:1,4 Luka 4:1,13::