22/08/2026
KISANGA: Hii ilitokea katika kijiji cha mwari baada ya mama na baba kuungana na kumpiga vibaya mtoto wao mithili kumuangamiza kwa kuwa alikuwa anaulizia vitu vyake alivyopokonywa, baba na mama walinyang'anya kijana huyu kuku pesa na vitu vingine na kumpatia ndugu yao ili aende navyo nairobi.....jee hii ni sawa kweli. Alex wabukechi ndio aliyeweza kumuokoa kijana huyu
Wazazi wamekamatwa na kupelekwa police station ya malakisi .