Habari kilifi

Habari kilifi Breaking news,MEME,Politics ,Comedy,Brand and marketing , Hotel, City , Campanies Online Traveler

Fabian Louie asemaTrust Me My brother don't just depend on music kua mjanja music ijenge jina na trust then hio jina na ...
14/09/2025

Fabian Louie asema
Trust Me My brother don't just depend on music kua mjanja music ijenge jina na trust then hio jina na trust ilete michongo alafu michongo ilete Hela AKILI kichwani wewe zidi ikipost Kila time unataka kuonana na mwanasiasa utaaachwa pakavu k**a vile Hon. Amina Mnyazi - M.P Malindi Aliacha wasani na Program ya Music Awards So This is Very ๐Ÿ˜Š funny ๐Ÿ˜‚ but let's hope at this point hatutadanganywa na program ya mwanasiasa juu hizo pesa wanaahidi hua hawana most of them nimchongo ili picha ipigwe kwamba amefanya kitu flani

Coast Region Content Creators Forum
29/07/2025

Coast Region Content Creators Forum

A heartbreaking story is told of a man who had just left home for his usual daily hustle when he received a phone call t...
28/07/2025

A heartbreaking story is told of a man who had just left home for his usual daily hustle when he received a phone call that shattered his world:

โ€œYouโ€™ve killed your son.โ€

Yes, you heard that right. In total shock, he was told that his young son had climbed onto the tipper truck he usually drives, which was parked in the compound. Unaware of this, the father drove off, only for the boy to fall and tragically lose his life.

The father, devastated and overwhelmed with guilt, has reportedly been convulsing ever since, struggling to come to terms with the unimaginable loss.

May God comfort the family and friends.

Neno moja kwa wazee hawa sema kupambanaTusipite bila neno
27/07/2025

Neno moja kwa wazee hawa sema kupambana
Tusipite bila neno

TRAGEDY IN WATAMU Hawa ni ndugu wawili; Captain Athuman laly na Hudhefa Laly ambao waliondoka kwenda kuvua siku ya Alham...
27/07/2025

TRAGEDY IN WATAMU
Hawa ni ndugu wawili; Captain Athuman laly na Hudhefa Laly ambao waliondoka kwenda kuvua siku ya Alhamisi huko Mayungu na hawakurudi tena...

Waliondoka na Tanga MV SEACHELLS, ambayo hajaonekana mpaka saa hii siku ya tatu...

Wavuvi wa maeneo mengine k**a vile Watamu, Malindi, Mambrui, Ngomeni, Lamu na kwengineko mnaombwa KUSAIDIA kuwatafuta...

Iwapo mtu yeyote atawaona, mnaombwa kuwasiliana na familia kupitia; 0700011250 or 0708411836... Tunaomba Mungu wapatikane wakiwa hai!!! ๐Ÿ™

Kindly Share.
Source Pwani Trends

kilifi county asemblyMonday 21st July 2025The County Assembly of Kilifi extends its heartfelt congratulations to Hon. Ca...
21/07/2025

kilifi county asembly

Monday 21st July 2025

The County Assembly of Kilifi extends its heartfelt congratulations to Hon. Catherine Kenga on her historic election as the newly elected Speaker of the County Assembly of Kilifi.

This remarkable achievement is not only a personal milestone for Hon. Catherine Kenga but also a significant moment for the County of Kilifi.

It stands as a powerful testament to the increasing representation of women in leadership roles within our governance structures. Her election reflects the trust and confidence that Members of the County Assembly have placed in her integrity, experience and unwavering commitment to public service.

As Speaker, Hon. Catherine Kenga now assumes a vital role in guiding the legislative agenda of the County Assembly ensuring that democratic processes are upheld while championing accountability, transparency and efficient service delivery.

Her leadership will undoubtedly play a key role in shaping policies and legislative frameworks that promote sustainable development and empower the people of Kilifi.

We extend our best wishes to Hon. Kenga for success, wisdom, and strength as she embarks on this important journey. May her tenure be marked by unity, progress and transformational leadership.

Once again, congratulations, Hon. Speaker Catherine Kenga.
Kilifi County Government Lemmy Lito WA Sogohe Gideon Maitha Mung'aro PWANI FM Coco FM Habari kilifi 360 Online Tv

Manchester United wamejitosa kikamilifu katika dili ya Gyokeres huku ripoti zikisema kuwa mshambuliaji huyo huenda akaji...
20/07/2025

Manchester United wamejitosa kikamilifu katika dili ya Gyokeres huku ripoti zikisema kuwa mshambuliaji huyo huenda akajiunga na Mashetani Wekundu.
C C PWANI FM

Gideon Maitha Mung'aro Kwenye ibada ya leo katika kanisa la ACK St. Andrewโ€™s Cathedral Malindi Diocese, neno takatifu li...
20/07/2025

Gideon Maitha Mung'aro
Kwenye ibada ya leo katika kanisa la ACK St. Andrewโ€™s Cathedral Malindi Diocese, neno takatifu lililoongozwa na Askofu Mkuu wa kanisa la Kianglikana Jimbo la Malindi, Reuben Shukuru Katite, limetukumbusha kwamba, kila wakati tunafaa kuvaa ujasiri wa Mungu katika kutekeleza majukumu yetu na kamwe tusiruhusu uoga ututawale.

Kumbukumbu la Torati 31:6

โ€œMuwe imara na hodari, wala msiwaogope au kutishwa nao, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu ndiye anayekwenda pamoja nanyi. Yeye hataacha kuwasaidia na hatawatupa.โ€

RAIS WA KILIFI Gideon Maitha Mung'aro  I had the pleasure of joining members of the Rotary Club of Malindi for the insta...
20/07/2025

RAIS WA KILIFI Gideon Maitha Mung'aro

I had the pleasure of joining members of the Rotary Club of Malindi for the installation ceremony of Mr. Aldo Menduni as the new Club President.

Rotary International continues to play a vital role in transforming communities both globally and here in Kilifi County, through impactful initiatives in health, education, economic empowerment, and peace-building.

Their commitment to service, often carried out in collaboration with other partners, has brought meaningful change to many lives.

I am confident that under the leadership of President Aldo Menduni, our shared vision for community development will grow even stronger, and together, we will continue making a lasting difference.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya kikao na uongozi wa Kampuni ya Miss World jiji...
20/07/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya kikao na uongozi wa Kampuni ya Miss World jijini Zanzibar, kujadili mambo kadhaa ikiwemo Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya Kimataifa ya Miss World Mwaka 2026.

Waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Miss World 2025, Opal Suchata Chuangsri kutoka Thailand na Miss World Africa Hasset Dereje Admassu kutoka Ethiopia.

Pale Coco FM Mambo ilikua Tototoo
20/07/2025

Pale Coco FM Mambo ilikua Tototoo

Haya my lavu hii hata haitaki kijiko, osha tu mkono tuanze mechi๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹โฃ๏ธ
20/07/2025

Haya my lavu hii hata haitaki kijiko, osha tu mkono tuanze mechi๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹โฃ๏ธ

Address

Malindi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari kilifi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share