Tanzania Scholars In India-TANSIN

Tanzania Scholars In India-TANSIN Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tanzania Scholars In India-TANSIN, Nonprofit Organization, EP-15C, Chanakyapuri,, New Delhi.

Picha ya pamoja iliyopigwa mara baada ya kumalizika kwa kikao kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi wa Tanzania n...
09/03/2026

Picha ya pamoja iliyopigwa mara baada ya kumalizika kwa kikao kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi wa Tanzania nchini India, pamoja na viongozi wa wanafunzi wa Kitanzania nchini India (TANSIN).

Picha hii inaonyesha viongozi na wawakilishi wa wanafunzi wakiwa pamoja k**a ishara ya ushirikiano, umoja, na mawasiliano ya karibu kati ya serikali kupitia ubalozi wake nchini India na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma nchini humo.

Ni kumbukumbu ya tukio muhimu lililowakutanisha viongozi wa serikali na jumuiya ya wanafunzi, likiwa na lengo la kuimarisha mahusiano na ustawi wa Watanzania waliopo katika masomo yao nchini India.

πŸ“ Delhi, India
πŸ“… 08 Machi 2026

BREAKING NEWSKIKAO MAALUM KATI YA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE, BALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA NA UONGOZI WA WANAFUNZI ...
09/03/2026

BREAKING NEWS

KIKAO MAALUM KATI YA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE, BALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA NA UONGOZI WA WANAFUNZI WA KITANZANIA NCHINI INDIA (TANSIN)

Tarehe 08 Machi 2026 kikao muhimu kilifanyika kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi wa Tanzania nchini India pamoja na uongozi wa TANSIN kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma nchini India.

Katika kikao hicho, viongozi wa wanafunzi waliwasilisha masuala muhimu yanayohusu ustawi wa wanafunzi, masuala ya kitaaluma, pamoja na changamoto za kijamii wanazokutana nazo wakati wa masomo yao.

Serikali kupitia ubalozi wake nchini India iliahidi kuendelea kushirikiana na wanafunzi ili kuhakikisha mazingira bora ya masomo na ustawi wa Watanzania wote waliopo nchini humo.

πŸ“Delhi, India
πŸ“… 08/03/2026

25/12/2025
Uongozi wa TANSIN unatoa pongezi na shukrani za dhati kwa uongozi wa TANFMU (Marwadi University) kwa mapokezi mazuri na ...
08/12/2025

Uongozi wa TANSIN unatoa pongezi na shukrani za dhati kwa uongozi wa TANFMU (Marwadi University) kwa mapokezi mazuri na kuonesha ukomavu kwenye uongozi na kudumisha umoja, ushirikiano na mshik**ano katika shughuli ya kipekee iliyofanyika Tarehe 08/12/2025 ya kuombea nchi yetu Tanzania. Tumefurahishwa na moyo wenu wa kushirikiana umeonyesha mfano bora wa uongozi wenye hekima na kuheshimiana. Tunathamini kwa dhati namna mlivyodhihirisha umoja huo na kufanya tukio hili kuwa la thamani na la kukumbukwa. Mungu awabariki, Mungu ibariki Tanzania.

Jamii ya wanachuo watanzania nchini India tunaosoma chuo MARWADI, chini ya uongozi wa jumuia yetu TANFMU .Tumeungana leo...
07/12/2025

Jamii ya wanachuo watanzania nchini India tunaosoma chuo MARWADI, chini ya uongozi wa jumuia yetu TANFMU .
Tumeungana leo Kuombea Taifa letu Amani katika kipindi hiki cha kuadhimisha Uhuru wa Tanzania.

Tunashukuru kwa ugeni wa Viongozi wa TANSIN waliotuunga mkono katika zoezi hili linaloimarisha umoja wetu.
Tutazidi kuitakia amani nchi yetu pendwa TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

10/11/2025

UBALOZI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA UONGOZI MPYA WA TANSIN.
Balozi wa Tanzania NCHINI India Mhe.Anisa Mbega amewaahidi viongozi wapya wa jumuiya kwa mwaka 2025/2026 katika kutetea maslai ya wanafunzi waliopo nchini India ofisi ya Ubalozi itaendelea kutoa ushirikiano kwa uongozi na wanafunzi katika maswala yote yanayohusu wanafunzi. Mhe. Balozi alitoa ahadi hiyo katika hafla ya kuwaapisha viongozi wapya wa jumuiya iliyofanyika tarehe 07/11/2025 katika ukumbi wa ubalozi (NEW DELHI).


09/11/2025

Balozi wa Tanzania nchini India aongoza harambee kukuza mfuko wa jumuiya.

Na mwandishi wetu.

Balozi wa Tanzania nchini India ambaye pia ni mlezi wa Jumuiya ya wanafunzi waTanzania wanaosoma nchini India Mhe. Anisa Mbega kwakutambua mchango wa viongozi pamoja na wanajumuiya wa wanafunzi wanaosoma nchini India ameongoza harambee kwa watumishi wa ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini India kuchangia mfuko wa Jumuiya ambapo katika harambe hiyo Mhe. Balozi alichangia kiasi cha rupee elfu ishirini (20,000) na kupelekewa kukusanywa jumla ya India rupee elfu hamsini (58,000Rupee). Harambe hiyo ilifanyika tarehe 07/11/2025 katika hafla ya kuwaapisha viongozi wapya wa jumuiya.



09/11/2025

Raisi wa Jumuiya ya Wanafunzi waTanzania wanaosoma nchini India 2025/2026 Mhe. Jumbe Juma Kawanza
marwadi


TAARIFA MUHIMU YA UAPISHO WA VIONGOZI WAPYA YA JUMUIYA πŸ“Œ
06/11/2025

TAARIFA MUHIMU YA UAPISHO WA VIONGOZI WAPYA YA JUMUIYA πŸ“Œ

DON'T PLAN TO MISS πŸŽ‰    marwadi
24/10/2025

DON'T PLAN TO MISS πŸŽ‰


marwadi

Address

EP-15C, Chanakyapuri,
New Delhi
110021

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Scholars In India-TANSIN posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share