02/09/2025
Tunakusudia kuwa na siku ya pamoja na watoto YATIMA NA WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU mwaka huu tena, ni mwezi wa kumi na mbili (12) au December 2025.
Siku hiyo tunataraji kufurahi pamoja nao na kuwapatia zawadi mbalimbali. Karibu uungane nasi kuwagusa watoto wetu hawa.
0614498992 namba ya kuwasiliana nasi. Kwa kupiga au sms