Jukwaa La wanawake

Jukwaa La wanawake Utetezi wa haki za wanawake na kupinga ukatili

Mnamo tarehe 6 Septemba  2024 Jukwaa la wanawake Mtwara kupitia Mradi wa Sauti zetu kwa ufadhili wa Women Fund Tanzania ...
10/09/2024

Mnamo tarehe 6 Septemba 2024 Jukwaa la wanawake Mtwara kupitia Mradi wa Sauti zetu kwa ufadhili wa Women Fund Tanzania Trust , tumeendesha mdahalo wa siku 1 kwenye kata ya Vigaeni Mtwara , kwa kuwakutanisha Wanawake 83 kutoa elimu na kujadili kuhusu mapambano dhidi ya aina zote za Ukatili , rushwa ya ngono, na umuhimu wa Wanawake kushiriki fursa za Uongozi ikiwepo michakato ya chaguzi zijazo.. Miongoni mwa watoa mada ni Afisa Ustawi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani Godlove Miho na Bi. Fidea Ruanda Mkurugenzi wa Shirika la KIMWAM Mtwara.

TGNP WLAC

Mnamo tarehe 1 na 2 ,jukwaa la Wanawake Mtwara kupitia  Mradi wa Sauti zetu kwa ufadhili wa Women Fund Tanzania Trust, t...
10/09/2024

Mnamo tarehe 1 na 2 ,jukwaa la Wanawake Mtwara kupitia Mradi wa Sauti zetu kwa ufadhili wa Women Fund Tanzania Trust, tumeendesha mafunzo kwa Wanawake 30 kuhusu mapambano dhidi ya aina zote za ukatili, ikiwepo rushwa ya ngono, Uongozi, na sheria ya ndoa. Miongoni mwa watoa mada alikuwa ni Afisa ustawi wa jamii kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani bi Fatma. Katika mafunzo haya Mkakati wa pamoja uliwekwa wa Wanawake kupaza Sauti ya pamoja katika kutoa elimu kwa mapana zaidi ili kufikia wanawake wengi zaidi hasa walioko pembezoni, kuibua na kuripoti vitendo vya ukatili, na kuwasaidia wahanga wa ukatili kupata haki zao.

WLAC TGNP

Address

Vigaeni
Mtwara

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:30
Tuesday 08:30 - 16:30
Wednesday 08:30 - 16:30
Thursday 08:30 - 16:30
Friday 08:30 - 16:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jukwaa La wanawake posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share