07/02/2026
Hello wateja wetu wa Mjikasoro fast food,tunapenda kuwataarifu kuwa kuanzia Leo tarehe 7 Feb 2026 hakutakuwa na huduma ndani ya mgahawa wetu, hii ni kutokana na kufunga Kwa muda Kwa ajili ya maboresho ya mgahawa wetu yanayolenga kuboresha huduma na mahitaji ya wateja wetu.
Huduma zetu zitatolewa Kwa njia ya delivery tu,hivyo ndugu mteja weka oda utaletewa Hadi ulipo na kwa wakati katika kipindi hiki Cha Feb Hadi mwanzoni mwa mwezi machi 2025.
Uongozi na watumishi wa Mjikasoro fast food tunapenda kuwashukuru sana wateja wetu na wadau mbalimbali kutuamini na kutupa nafasi ya kuwahudumia.Tunachukua nafasi hii ya uaminifu kuendelea kuwa Bora kwenye huduma kila siku na kufanya maboresho kila wakati kutokana na mahitaji ya wateja na mahitaji ya huduma kulingana na muda.
Kwa mawasiliano piga simu/sms/whatsap
0658748421 kwa huduma za haraka ofisini
0755748421 mbadala wahuduma na MAONI
MJIKASORO FAST FOOD "WE DELIVER YOUR NEEDS".