16/05/2024
Katika vikundi vitatu tulivyovianzisha na kuvijengea uwezo vimeweza pata pesa za miradi kutoka mradi wa serikali kukuza utalii na kuendleza Mali asili kusini wa Tazannia REGROW unaofadhiliwa na benki ya Dunia.
Kikundi cha Mikumi Eco COCOBA kimeweza pata fedha za mradi kujenga karakana (workshop) ya ngozi kwa ajili ya kutengeneza bidhaa za ngozi Kikwalaza opposite na eneo la Kijiji cha Utalii Mikumi.