25/10/2025
Mbeya Paralegal Aid Center kwa kushirikiana na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania, (thrdc), wamekuwa wakihamasisha na kutoa elimu ya Mpiga kura katika Halmashauri ya jiji la Mbeya kupitia vipindi vya Redio na .
tunatoa shukrani zetu kwa msaada na ufadhili wa vipindi vya elimu ya Mpiga kura pamoja na ufundi/mbinu za kitaalamu katika uhamasishaji ushiriki wa jamii katika michakato wa uchaguzi.
,
-Tanzania,