Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga- Uwashem

Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga- Uwashem Tunatoa huduma ya msaada wa kisheria.

Mfano....
1.Tunasuluhisha migogoro ya....
-Ardhi
-Ndoa
-Mirathi
-Matunzo ya watoto
-Madai
-Jinai
-Migogoro ya kazi
-Ukatili wa kijinsia
2.Tunatoa elimu ya sheria kwa masuala yaliyotajwa hapo juu.

UWASHEM yafanya Mdahalo wa Kutatua Mgogoro kati ya Wakulima wa Mwani na Wavuvi – Kata ya Boma 🌊🀝Tarehe 20 Novemba 2025, ...
25/11/2025

UWASHEM yafanya Mdahalo wa Kutatua Mgogoro kati ya Wakulima wa Mwani na Wavuvi – Kata ya Boma 🌊🀝

Tarehe 20 Novemba 2025, Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga (UWASHEM) umefanya mdahalo wa wazi katika Kata ya Boma, wenye lengo la kutatua mgogoro uliokuwepo kati ya wakulima wa mwani na wavuvi.

Mdahalo huu uliwaleta wadau pamoja kujadiliana kwa uwazi, kubaini chanzo cha changamoto, na kuweka mikakati ya kudumisha amani, ushirikiano, na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari 🌱🐟.

Kazi hii ni sehemu ya mradi β€œKujenga Uwezo kwa Matumizi Bora ya Bahari,” unaotekelezwa na UWASHEM kwa ufadhili wa 4H Tanzania pamoja na WeWorld 🌍✨.

UWASHEM inaendelea kujenga jamii yenye haki, amani na ustawi kwa wote πŸ€²πŸ½πŸ’™.


Asaso ya Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga UWASHEM ilifanya dialogue na wakulima wa mwani, wavuvi, viongozi wa serikal...
07/04/2025

Asaso ya Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga UWASHEM ilifanya dialogue na wakulima wa mwani, wavuvi, viongozi wa serikali, wadau mbalimbali na wananchi, dialogue yenye lengo la kufikisha elimu juu ya utatuzi wa mgogoro kati ya wakulima wa mwani na wavuvi kwa ajili ya matumizi bora ya bahari.
Dialogue hiyo ilifanyika siku ya Ijumaa tarehe 21 March 2025 katika kijiji cha Mwaboza kata ya Moa wilayani Mkinga.

Address

Maramba A
Maramba
00000

Telephone

+255687375646

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Umoja wa Wasaidizi wa Sheria Mkinga- Uwashem posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share