Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF

Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF Kigoma region in Tanzania,regardless of their ethnicity,religion, race and gender.

KCF is a charitable organization in the Kigoma region of Tanzania,
that provides solutions to achieve a sustainable food, health, education, economic and social welfare system for the community. KCF is an organization of youth shia scholars, originally from the Kigoma region,with the aim of helping each other and also helping and empowering widows,orphans, the disabled,the sick, students,the elderly and people living in vulnerable situations.

KCF inawatakia heri ya siku ya mazazi matukufu ya Imam Ali bin M***a Al-ridha(a.s).✍️KCF inawakumbusha kwamba,mazazi ya ...
28/04/2026

KCF inawatakia heri ya siku ya mazazi matukufu ya Imam Ali bin M***a Al-ridha(a.s).

✍️KCF inawakumbusha kwamba,mazazi ya imam Ridhaa (a.s) ni kuzaliwa kwa mtu ambaye maisha yake yalikuwa ishara ya maarifa, uvumilivu, na hekima ya kimungu. Imam Ridha(a.s) aliendeleza urithi wa Ahlulbayt (a.s.) kwa heshima, akiongoza mioyo kupitia akili, huruma, na imani isiyoyumba.

Akijulikana kwa uelewa wake wa kina na tabia yake ya upole, alifundisha kwamba nguvu ya kweli iko katika maarifa, na uongozi wa kweli uko katika unyenyekevu.

Uwepo wake ulileta uwazi wakati wa machafuko, na maneno yake yanaendelea kuangazia njia kwa wale wanaotafuta ukweli.

Hata katika kukabiliana na shinikizo la kisiasa na majaribu, Imam Ridha (a.s) alibaki imara, akionyesha ulimwengu jinsi imani na hekima zinavyosimama juu ya nguvu za kidunia.

Maisha yake ni ukumbusho kwamba mwongozo huja na uvumilivu, na ukweli huangaza kupitia uaminifu.

Katika siku hii yenye baraka,tujifunze kutokana na tabia yake, tuimarishe uhusiano wetu na Ahlulbayt(a.s.), tutembee katika njia ya maarifa na haki.

🎁
(a.s)❤️‍🩹

KCF tunatoa salaam za pole kwa imam wa umma,imam Muhammad Al-Mahd(a.s) na kwa waumini wote duniani katika kumbukumbu ya ...
14/04/2026

KCF tunatoa salaam za pole kwa imam wa umma,imam Muhammad Al-Mahd(a.s) na kwa waumini wote duniani katika kumbukumbu ya kifo cha imam Jaafar Sadiq (a.s).

Imam Jaafar Sadiq(a.s) anasema:
"Sadaka ambayo Mungu anaipenda ni kuwapatanisha watu wanapotofautiana na kuwaleta karibu zaidi wanapokuwa mbali."

📚 Usul al-Kafi - Juz. 2 - uk. 209.

Katika mizani ya wema huenda thawabu ya Tsh elfu moja ikashinda thawabu ya Tsh laki moja.  Ikiwa nia iliyoko nyuma ya el...
10/04/2026

Katika mizani ya wema huenda thawabu ya Tsh elfu moja ikashinda thawabu ya Tsh laki moja.
Ikiwa nia iliyoko nyuma ya elfu moja ni kubwa kuliko iliyopo kwenye lakini Moja.

K**a ambavyo Mwenyezimungu(swt) alishusha sura katika Quran kusifia kitendo cha sadaka ya mikate kwa kutoka nyumba ya Imam Ali (a.s) na mkewe bi Fatima (a.s),kwenda kwa mtumwa,masikini na msafari.
Sadaka ilikuwa ni ndogo kwa kutazama lakini nia iliyoko nyuma ilikuwa kubwa na yenye ikhlaswi.

Karbala Charity Foundation-Tanzania


"Ukitaka mema kwa ajili yako mwenyewe, basi watendee mema watu wengine."~Imamu Ali (a.s)
28/03/2026

"Ukitaka mema kwa ajili yako mwenyewe, basi watendee mema watu wengine."

~Imamu Ali (a.s)

20/03/2026

🌙✨ EID MUBARAK ✨🌙

Karbala Charity Foundation – Tanzania (KCF)

Tunawatakia Waislamu wote
Heri ya Sikukuu ya Eid!
Mwenyezi Mungu azikubali ibada zetu,
atujalie amani, upendo na baraka tele.
🤲
“Every good deed is charity”

-Mubarak

20/03/2026

Karbala Charity Foundation Tanzania (KCF),leo tarehe 20/03/2026, kupitia program yake ya
MEZA YA RAMADHAN 2026 🍽️
imefanikiwa kugawa sadaka ya mchele kwa mayatima wanne (4) 📦

Ambapo kila mmoja alipata kilo 1 ya mchele katika eneo la Mwandiga Mashariki (Ruhobe), Kigoma 📍.

Tunawashukuru sana 🙏 wote waliochangia katika sadaka hii, na tunamuomba Mwenyezi Mungu (SWT) aikubali sadaka yetu, iwe sababu ya kutukubalia funga zetu, atufutie makosa yetu, atufungulie milango ya riziki, na atujalie moyo wa kuendelea kutoa zaidi 🤲

Kwa baraka za mwezi huu mtukufu na baraka za Ahlulbayt (A.S), Aamin 🤲🏻

Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF

jema ni sadaka
good deed is charity

15/03/2026

When you give something to someone,please consider your intention quality and not quantity.

Imam Ridha (a.s) anasema;“Ikiwa mtu anasoma aya moja kutoka Kitabu cha Mwenyezimungu wakati wa mwezi wa Ramadhani, ni k*...
26/02/2026

Imam Ridha (a.s) anasema;

“Ikiwa mtu anasoma aya moja kutoka Kitabu cha Mwenyezimungu wakati wa mwezi wa Ramadhani, ni k**a amesoma Qur’ani nzima katika miezi mingine.”

📘(Bihar al-Anwar, juz. 93, uk. 341)

✍️KCF inaendelea kuwatakia mfungo mwema wa Ramadhan na Kwarezima🙏.

kareem
kareem

Send good energy to this tWorld 🌍,it will come back to you. That  good energy is charity.Do you remember that the holy m...
22/02/2026

Send good energy to this tWorld 🌍,it will come back to you. That good energy is charity.

Do you remember that the holy month of Ramadhan is special month for charity!

KCF,we mobilize charity, please join us to our program
"MEZA YA RAMADHAN 2026"

18/02/2026

Ramadhani kareem 🙏

Charity in Ramadan.

Welcoming Ramadan,includes doing good to others, maintaining family ties,aiding the need and spreading kindness.

Even small acts like feeding a fasting person,carry immerse reward.

Social and ethical engagement reflects true spiritual awareness.

KCF wishes you Ramadhan kareem🤲🏻
Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF



Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Ali (a.s) 🌹🎆Alama ya haki, ujasiri, na maarifa.Ewe Ali (a.s), nyoyo zetu ziangaz...
03/01/2026

Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Ali (a.s) 🌹🎆
Alama ya haki, ujasiri, na maarifa.

Ewe Ali (a.s), nyoyo zetu ziangazwe kila wakati na mwongozo wako🤲🙏🏼.

Moja ya sifa zako ni ile ya "Baba wa Mayatima" ni ahadi yetu KCF kwako kwamba tunakuenzi kwa kujali mayatima, wajane na wasio jiweza pia kutoa elimu katika jamii.

Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF


(a.s)

Inna lilahi wainna ilahi rajiun😭.KCF inatoa salamu za pole kwa waislamu wote wa Tanzania,ndugu jamaa na marafiki kwa kuo...
01/01/2026

Inna lilahi wainna ilahi rajiun😭.

KCF inatoa salamu za pole kwa waislamu wote wa Tanzania,ndugu jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mwanachuoni mkubwa wa kiislamu,Samahat Shekh Ali Juma Mayunga.

Jamii imepata pengo kubwa kwa kuondokewa na kiongozi huyu ambae sehemu ya elimu yake itabakia katika vitabu vya Tafsiri ya Quran,Meza ya Uchunguzi,Tafsiri ya Dua Kumayl n.k.

Tunamuomba Mwenyezimungu(swt) amsamehe na amueke pamoja na Ahlulbayt(a.s).🤲🏻

Inna lilahi wainna ilahi rajiun 😭.

Address

Ruhobe, Mwandiga
Kigoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Karbala Charity Foundation Tanzania-KCF posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share