03/07/2024
CHETI CHA PONGEZI
Mratibu wa shirika la children power organization mkoa wa morogoro Ndugu witness Foya amepokea cheti Cha pongezi kutoka shirika linaloitwa Morogoro Paralegal center cheti hicho Cha pongezi kimetokana na ushirikiano mzuri uliopo kati ya shirika la *children power organization na shirika la Morogoro Paralegal center kutokana na ushirikiano mzuri mashirika yote mawili yamefanikiwa kuisaidia jamii ya mkoa wa morogoro kwa kuhakikisha kila mtu anapata haki anayostahili pia watoto wanalindwa kwa gharama yoyote ikiwa ni katika kuunga juhudi za serikali yetu ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wetu Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN Ambae yeye mwenyewe amekuwa kinara namba Moja wa kulinda haki za watoto nchini kwetu Tanzania.
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE