CIFCA Tanzania

CIFCA Tanzania Fostering The growth of Islamic finance in Tanzania, Promote halal Finance for Halal wealth and provide Financial Inclusion In Tanzania.

Eid Mubarak , Tuchinje kwa Ikhlas ,Tuishi kwa Amani
26/05/2026

Eid Mubarak , Tuchinje kwa Ikhlas ,Tuishi kwa Amani

25/05/2026

Kuelekea Mfumo Jumuishi wa Hifadhi ya Jamii!

Katika wasilisho lake, Mr. Abdulazizi Iddi ameshirikisha Mpango Mkakati wa Mageuzi (Reform Roadmap) utakaosaidia kujenga mfumo thabiti, endelevu na wenye uadilifu nchini kwetu.

Mageuzi haya ya kimkakati ndiyo yatakayofungua milango ya ustawi na usalama wa kifedha wa muda mrefu kwa jamii nzima.

💬 Unadhani ni hatua gani ipewe kipaumbele zaidi katika kufanikisha mfumo huu jumuishi? Tuambie kwenye maoni! 👇

19/05/2026
Alhamdulillah! Mjadala wa 7 wa Kila Mwezi wa Fedha za Kiislamu umekamilika kwa mafanikio makubwa.Tungependa kutoa shukra...
19/05/2026

Alhamdulillah! Mjadala wa 7 wa Kila Mwezi wa Fedha za Kiislamu umekamilika kwa mafanikio makubwa.

Tungependa kutoa shukrani zetu za dhati kwa wadau, wadhamini wetu PBZ IKHLAS na kila mmoja aliyehudhuria na kushiriki nasi.

Shukrani za kipekee zimwendee Mzungumzaji wetu Mkuu, Bw. Abdulazizi Iddi kutoka ZSSF, kwa kutushirikisha maarifa na uzoefu muhimu sana kuhusu "Umuhimu wa Kuanzisha Dirisha la Hifadhi ya Jamii Linalozingatia Sharia". Darasa hili limetupa mwanga mkubwa na kuonyesha mchango wa mifumo hii katika kukuza ujumuishaji wa kifedha na ustawi wa kiuchumi nchini.

Ushirikiano wenu ndio unaotupa nguvu ya kuendelea kutoa elimu hii. Tukutane kwenye mjadala ujao! 🤝

Unaalikwa kwenye Mjadala wa 7 wa Kila Mwezi wa Fedha za Kiislamu.Jiunge nasi katika mjadala muhimu kuhusu nafasi ya mifu...
05/05/2026

Unaalikwa kwenye Mjadala wa 7 wa Kila Mwezi wa Fedha za Kiislamu.

Jiunge nasi katika mjadala muhimu kuhusu nafasi ya mifumo ya hifadhi ya jamii inayozingatia misingi ya Sharia katika kukuza ujumuishaji wa kifedha na ustawi wa kiuchumi.

🎤 Mzungumzaji Mkuu:
Bw. Abdulazizi Iddi
(Mkurugenzi – Mpango wa Sharia, ZSSF)

Mada:
Umuhimu wa Kuanzisha Dirisha la Hifadhi ya Jamii Linalozingatia Sharia
(Mafunzo kutoka ZSSF – Zanzibar)

📅 Tarehe: 16 Mei 2026
⏰ Muda: Saa 2:30 Asubuhi – Saa 7:00 Mchana
📍 Mahali: Luminous International School (Magomeni Mikumi)

Hakuna Kiingilio
chakula cha asubuhi kitatolewa
Watu wote wanakaribishwa

Jisajili sasa:
https://forms.gle/UkhqYXqGBAGwAsK46

📞 Mawasiliano: 0754 400 026 / 0689 422 584

Eid Mubarak
20/03/2026

Eid Mubarak

Usizoeane na haramu, hata k**a inaonekana ndogo kiasi gani. Katika Uislamu, kujiepusha na haramu si tu kuacha maovu, bal...
07/02/2026

Usizoeane na haramu, hata k**a inaonekana ndogo kiasi gani. Katika Uislamu, kujiepusha na haramu si tu kuacha maovu, bali ni kulinda amani ya moyo, usafi wa roho, na uhusiano wako na Mwenyezi Mungu. Unapotafuta riziki, hakikisha kipato chako ni halali, kisicho na riba, udanganyifu, wala mambo yaliyokatazwa kwa sababu mali ya haramu huondoa utamu wa ibada na utulivu wa nafsi.
-Dr Ahmed Rufai

Je Wajua? ilikuwa ni juhudi ya kuelimisha jamii kuhusu mambo kadhaa yanayohusu miamala ya kifedha ya Kiislam katika miak...
24/11/2025

Je Wajua? ilikuwa ni juhudi ya kuelimisha jamii kuhusu mambo kadhaa yanayohusu miamala ya kifedha ya Kiislam katika miaka ya nyuma. Katika siku zijazo, tutakuwa tunatuma baadhi ya mabango hayo ambayo yalipelekea kuandikwa kitabu cha Miamala ya Kifedha ya Kiislam.

Anayehitaji kupata nakala ya kitabu hicho awasiliane na CIFCA 0689422584 .

We were honored to have our Secretary General, Mr. Salum Lupande, represent CIFCA during the visit to the Alhuda CIBE ma...
18/11/2025

We were honored to have our Secretary General, Mr. Salum Lupande, represent CIFCA during the visit to the Alhuda CIBE main office in Dubai. The visit provided a first-hand experience of the friendly and professional consulting environment we have long admired through our engagements.

We extend our sincere appreciation to the Alhuda CIBE Team for their warm hospitality and the productive discussions focused on strengthening our collaboration in advancing Islamic Finance in Tanzania for sustainable and long-term impact.

Key highlights from the meeting:
1️⃣ Strengthening efforts to mobilize Islamic Finance well-wishers to participate in the upcoming Pakistan Islamic Finance Ecosystem Tour.
2️⃣ Joint logistical and collaborative preparations for the Tanzania Islamic Finance Annual Conference, proposed for 31 January 2026, with confirmed participation from Alhuda CIBE leadership.

Together, we can. 🤝

BoT Islamic Finance Ecosystem Tour in BahrainIt gives great pleasure to see that despite the country's lock-down in the ...
07/11/2025

BoT Islamic Finance Ecosystem Tour in Bahrain

It gives great pleasure to see that despite the country's lock-down in the past week, The Bank of Tanzania (BoT) delegate has finally made it to Bahrain with initial objective of attending the IsDB and AAOIFI Annual Islamic Finance Conference as well as Capacity Building Sessions that have been ongoing since Saturday, 1 November 2025.

This dedication of the regulator to he Islamic Finance sector in Tanzania is highly appreciated by us as players in the industry in Tanzania, but most importantly, highly commended by the Islamic Finance Infrastructure Organizations that we have met so far, and they have used this occasion as a motivational factor to participants from other countries by openly telling them *You see how Tanzania is serious with reforms in Islamic Finance, the Central Bank has sent their delegate all the way and for all these number of days*.

As we are about to finish capacity building initiatives, the delegate is geared to proceed with a specifically tailored tour for the Islamic Finance Ecosystem organizations in Bahrain and explore how they have made the strides to where they are with the aim to take lessons on the best practices that once adopted, customized and applied to our environment, can enable a shift from where we are to a much better position in Islamic Finance.

Once again, this move is highly appreciated and the World sees that after efforts of motivating individual participants and institutional representations to these events, now regulators have taken this on a more serious note, especially when in all meetings the discussions are more on *what do you think we can do to make our environment more convenient for Islamic Finance to grow in our jurisdiction*.

Aluta Continua....

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Thursday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CIFCA Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share