Alphard007

Alphard007 Entertainment and fanny news

Kupitia mahojiano ya njia ya simu aliyofanya Maimartha Jesse na  Ruben ambaye alikuwa  mchumba wa Miriam Chirwa amethibi...
15/05/2026

Kupitia mahojiano ya njia ya simu aliyofanya Maimartha Jesse na Ruben ambaye alikuwa mchumba wa Miriam Chirwa amethibitisha kuwa hatoweza kumuoa tena Miriam Chirwa kutokana na dharau ambazo amekuwa akimletea.

Ruben amesisitiza kuwa k**a bado hawajaoana analetewa dharau je akimuweka ndani si ndiyo zitazidi hivyo ameona bora asitishe ndoa.

Ila mpaka sasa watu wapo njia panda kuhusu video clip iliyotrend Miriam akifanyiwa send off watu wanajiuliza je amepata mchumba mwingine au imekuaje?

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Alphard007 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share