UNICEF TANZANIA

UNICEF TANZANIA This is the Official Page of UNICEF Tanzania. UNICEF has been working in Tanzania since 1954 advocating for the rights of children. www.unicef.org/tanzania

UNICEF has been on the ground in Tanzania since 1954 as part of its emergency operations, though the office was set up in 1975. Since then, UNICEF’s assistance to Tanzania has taken many forms guided by the changing situation of women and children in Tanzania, national and organization priorities. UNICEF plays a unique role in Tanzania as an advocate for children’s rights, identifying gaps in thei

r realization, providing technical advice and assistance to the government in addressing the gaps, and bringing evidence to the table.

11/06/2026

Kucheza ni jambo rahisi.

Wakati wa furaha na vicheko kati ya Theodesta na mwanawe wa mwaka mmoja, Melvin.

Micheza rahisi k**a hii huwasaidia watoto kujifunza, kujenga ukaribu na walezi wao, kujiamini na kukua vizuri.

Katika kuadhimisha , tunakumbushwa kuwa mchezo ni sehemu muhimu ya ukuaji na maendeleo ya kila mtoto.

.

“Nyakati hizi za mwanzo ni muhimu sana, na upatikanaji wa huduma bora kwa wakati unaweza kuwa tofauti kati ya uhai na ki...
06/06/2026

“Nyakati hizi za mwanzo ni muhimu sana, na upatikanaji wa huduma bora kwa wakati unaweza kuwa tofauti kati ya uhai na kifo.” — Patricia Safi-Lombo, Naibu Mwakilishi wa UNICEF.

UNICEF imekabidhi vifaa vya huduma ya watoto wachanga vyenye thamani ya TZS milioni 150 (USD 55,556) kwa Timu ya Usimamizi wa Afya ya Mkoa wa Dar es Salaam ili kusaidia kuimarisha huduma za kuokoa maisha ya watoto wachanga katika mkoa huo.

Vifaa hivyo, vilivyowezeshwa kupitia msaada wa The Church of Jesus Christ of Latter-day Saints, vitasaidia wahudumu wa afya kubaini changamoto mapema, kutoa huduma za uokoaji, na kuboresha huduma kwa watoto wachanga walio katika mazingira hatarishi.

, mwanzo bora wa maisha.

04/06/2026

Happy International Seaweed Day from Zanzibar!

From the ocean to the lab, students at the STEM Youth Bootcamp are unlocking Zanzibar's blue economy. Our young scientists stepped directly into the ocean to harvest seaweed. They returned to the lab to extract natural biopolymers and produce organic seaweed soap.This hands-on education teaches valuable agri-processing and climate-smart innovation.

This initiative is implemented by ProjeKt Inspire through the girls in programme. It is proudly supported by the Government of Canada through UNICEF Tanzania.Together, we are investing in the next generation of climate leaders and innovators.




Zanzibar

Teknolojia bora kwa ulinzi bora wa watoto.UNICEF, 📍Zanzibar imekabidhi vifaa 37 vya tablet kwa Wizara ya Maendeleo ya Ja...
04/06/2026

Teknolojia bora kwa ulinzi bora wa watoto.

UNICEF, 📍Zanzibar imekabidhi vifaa 37 vya tablet kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa ajili ya kuimarisha matumizi ya Mfumo wa Taarifa za Usimamizi wa Ulinzi wa Mtoto (CPIMS).

Vifaa hivyo vitasaidia Maafisa Ustawi wa Jamii kutumia mfumo wa mtandao wa Primero katika usimamizi wa kesi za ulinzi wa watoto, ufuatiliaji wa kesi, pamoja na usimamizi wa takwimu.

Mfumo huo tayari unatumiwa na Maafisa wa Ustawi wa Jamii, Afya na Polisi katika kushughulikia masuala ya ulinzi wa mtoto.

“Wapendwa watoto, kituo hiki ni chenu. Kiwe mahali pa furaha, usalama, ugunduzi na kujifunza mahali ambapo ndoto zenu zi...
03/06/2026

“Wapendwa watoto, kituo hiki ni chenu. Kiwe mahali pa furaha, usalama, ugunduzi na kujifunza mahali ambapo ndoto zenu zinaanzia.” – Elke Wisch, Mwakilishi wa UNICEF Tanzania.

Leo, UNICEF iliungana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na wadau katika uzinduzi rasmi wa kituo cha awali na msingi kilichokarabatiwa cha Mchikichini, Wilaya ya Magharibi A, Unguja.

Kituo hiki ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kupanua upatikanaji wa huduma jumuishi za malezi na makuzi ya awali ya mtoto Zanzibar, kwa kuunda mazingira salama na jumuishi ambapo watoto wanaweza kujifunza, kucheza na kustawi huku familia zikipata huduma muhimu zikiwemo afya, lishe na ulinzi wa mtoto.

, mwanzo bora wa maisha.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, Shirika la Uhandisi wa Mazingira na Kudhibiti Uchafuzi wa Mazingira (EEPCO) iliun...
29/05/2026

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, Shirika la Uhandisi wa Mazingira na Kudhibiti Uchafuzi wa Mazingira (EEPCO) iliungana na mamlaka za serikali za mitaa kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama Duniani katika Shule ya Msingi Bupigu.

Maadhimisho hayo yalihusisha utoaji wa elimu kwa walimu na wanafunzi wasichana na wavulana kuhusu afya ya hedhi, heshima na kupunguza unyanyapaa. Wanafunzi pia walipata elimu kuhusu matumizi sahihi, uhifadhi na utupaji wa taulo za k**e pamoja na umuhimu wa kunawa mikono kwa ajili ya usafi wa hedhi.

Dunia rafiki kwa hedhi inatuhitaji sisi sote. Watoto, wazazi, walimu, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wilayani Mboz...
29/05/2026

Dunia rafiki kwa hedhi inatuhitaji sisi sote.

Watoto, wazazi, walimu, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wilayani Mbozi waliungana kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama Duniani 2026 na kuhamasisha afya na heshima ya hedhi kwa wasichana.

Kwa msaada wa UNICEF kwa kushirikiana na SAWA Tanzania na mamlaka za serikali za mitaa, shughuli hii ilihamasisha ushiriki wa jamii nzima pamoja na wavulana na wanaume katika kuendeleza afya na usafi wa hedhi.

Kwa pamoja, tunaiona dunia ambayo hakuna msichana anayekwazwa na hedhi yake.

Kukomesha ukatili dhidi ya watoto kunaanza na hatua katika kila ngazi.Kwa msaada wa Ubalozi wa Ireland, mipango saba ya ...
28/05/2026

Kukomesha ukatili dhidi ya watoto kunaanza na hatua katika kila ngazi.

Kwa msaada wa Ubalozi wa Ireland, mipango saba ya kimkakati ya kikanda imezinduliwa kuimarisha utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Tanzania.

Uwekezaji zaidi, mifumo imara ya ngazi za mitaa na ushirikiano wa pamoja ni muhimu kuhakikisha kila mtoto yuko salama na analindwa.

Katika Eid Al-Adha hii, kila mtoto astahili kujiona anathaminiwa, kujumuishwa na kusherehekewa. 🌙💙Eid Mubarak kwa wote w...
27/05/2026

Katika Eid Al-Adha hii, kila mtoto astahili kujiona anathaminiwa, kujumuishwa na kusherehekewa. 🌙💙

Eid Mubarak kwa wote wanaosherehekea. Msimu huu wa sadaka na huruma ulete amani, upendo na furaha kwa kila familia na kila mtoto.

Jamii nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda zinakabiliwa na athari kubwa kufuatia milipuko ya Ebola. UNICEF ...
25/05/2026

Jamii nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda zinakabiliwa na athari kubwa kufuatia milipuko ya Ebola.

UNICEF inaongeza juhudi za kuwasaidia watoto na familia kupitia huduma za dharura za afya, ulinzi wa mtoto, msaada wa kisaikolojia na ushirikiano na jamii.

Statement UNICEF scaling up efforts to protect and support children and families following Ebola outbreaks in the Democratic Republic of the Congo and Uganda 18 May 2026 UNICEF EnglishFrançaisEspañolالعربية NEW YORK/KAMPALA/KINSHASA, 18 May 2026 – “UNICEF is deeply concerned by confirme...

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UNICEF TANZANIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to UNICEF TANZANIA:

Share