14/07/2026
SALAMU ZA POLE
Uongozi wa Umoja wa Walimu wa Madrasa Kata ya Azimio (UWAMAA), unatoa pole kwa Sheikh Sharif Hashri (Mlezi wetu) kufuatilia kifo cha Mama yake Mzazi Bint Sheikh Hashri kilichotokea leo Julai 13, 2026.
Tunamuomba Allah (s.w) awape subira, uvumilivu na moyo wa kustahamili katika kipindi hiki kigumu. Tunamuombea Mama yetu kwa Allah (s.w) amsamehe makosa yake, amrehemu kwa rehema zake na amjaalie pepo kuwa makazi yake.
Amiin
Innaalillahi Wainnailayhi Rajiuun!