21/11/2024
BIG CONGRATULATION
Tunampongeza na Prism Communication kwa kuandika historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kushinda tuzo iliyotolewa na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa iliyofanyika nchini cameroon jumanne ya wiki hii,
Kutokana na juhudi zake katika kubuni na kutekeleza miradi ya manufaa kwa jamii, hasa kwenye sekta ya afya. Hii tuzo ni dedication kwa vijana smart wote Hongereni kwa mafanikio haya makubwa