Wapeni Ninyi Chakula Foundation

Wapeni Ninyi Chakula Foundation Ni shirika lenye lengo la kushirikiana na mashirika ya ndani na nje ya nchi ili kutoa elimu na hamasa

25/03/2026
18/03/2026

MKESHA WA MAOMBI

YESU NIHURUMIE

Mambo mengine yote umefanya mtu wa Mungu lakini hakuna matokeo, maelekezo ya wataalamu umefuata, maombi na sadaka umetoa lakini hakuna matokeo, Rafiki yangu ulichobakiza ni YESU AKUHURUMIE

HUU NI MKESHA WA KUHURUMIWA NA MUNGU

Wale tusio na vigezo, tusio na Sifa k**a wao tunahitaji HURUMA YA MUNGU

Sisi tuliochelewa, tusio na watu wa kutushika mkono tunahitaji HURUMA YA MUNGU

Sisi tuliolia sana bila msaada tunahitaji HURUMA YA MUNGU

KARIBU SANA KWENYE MKESHA KWENYE MAJIRA YA KWARESMA MUNGU ATAKUHURUMIA

“Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.”
— Luka 7:13

UKUMBI: SUMA JKT HALL- MWENGE

0764444900

HAKUNA KIINGILIO




Address

Alimaua B
Dar Es Salaam
141107

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wapeni Ninyi Chakula Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share