31/05/2026
🌱 KARIBU USIKILIZE KIPINDI MAALUM CHA MAZINGIRA FM 91.7 🌱
Leo Jumapili, tarehe 31 Mei 2026, kuanzia saa 1:00 hadi saa 2:00 jioni, Mkurugenzi Mtendaji wa BUFADESO, Baraka Kamese, atakuwa mgeni maalum katika kipindi cha Mazingira FM.
Mada: *Umuhimu wa Utunzaji wa Mazingira kuelekea Siku ya Mazingira Duniani.*
Usikose kufuatilia mjadala huu muhimu kuhusu wajibu wetu katika kulinda mazingira, kuhifadhi bioanuwai, na kujenga maisha bora kwa kizazi cha sasa na kijacho.
📻 Sikiliza kupitia Mazingira FM 91.7
🌐 Mtandaoni: https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/