Recoda Tanzania

Recoda Tanzania RECODA is a Tanzanian NGO existing to bridge the technology gap in development. www.recoda.or.tz

πŸ”πŸŒ± KUJENGA USTAWI WA JAMII KUPITIA UFUGAJI ENDELEVU NA UHIFADHI WA MAZINGIRAKupitia mradi wa Faith For Restoration (Fait...
05/06/2026

πŸ”πŸŒ± KUJENGA USTAWI WA JAMII KUPITIA UFUGAJI ENDELEVU NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

Kupitia mradi wa Faith For Restoration (Faith4Restoration), wananchi wa Kijiji cha Kimokouwa, Wilaya ya Longido mkoani Arusha, wameendelea kunufaika na mafunzo ya vitendo kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku, chanjo ya kuku dhidi ya ugonjwa wa Ndui ya Kuku (Fowl Pox), pamoja na mbinu bora za uzalishaji na uuzaji wa vifaranga.

Mafunzo haya yanalenga kuwawezesha wafugaji kuongeza tija, kupunguza vifo vya kuku vinavyotokana na magonjwa, na kuboresha kipato cha kaya kupitia ufugaji wa kuku wenye tija na unaozingatia kanuni bora za usimamizi wa mifugo.

Kinachoufanya Faith4Restoration kuwa wa kipekee ni mtazamo wake wa kiimani unaounganisha theolojia, ikolojia na maadili ya kijamii. Kupitia mbinu hii, jamii zinahamasishwa kutunza uumbaji wa Mungu kwa vitendo vinavyochangia uhifadhi wa mazingira, ustawi wa jamii na kuimarisha uwezo wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

🀝 Mradi huu unafadhiliwa na CKU Denmark na kutekelezwa kwa ushirikiano wa WWF, RECODA, LOKEEN pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Longido.

🌍 Kwa pamoja tunaendelea kujenga jamii zenye maarifa, zenye uwezo wa kujitegemea kiuchumi na zenye uthabiti dhidi ya changamoto za mabadiliko ya tabianchi.

πŸ’¬ Je, unaonaje nafasi ya ufugaji wa kuku katika kuboresha kipato na usalama wa chakula kwa kaya za vijijini?

πŸ‘‡ Tuandikie maoni yako hapa chini.

πŸ”πŸŒ± BUILDING COMMUNITY WELL-BEING THROUGH SUSTAINABLE POULTRY FARMING AND ENVIRONMENTAL CONSERVATION

Through the Faith for Restoration (Faith4Restoration) project, community members in Kimokouwa Village, Longido District, Arusha Region, continue to benefit from practical training on poultry feed formulation, vaccination of chickens against Fowl Pox, and improved techniques for chick production and marketing.

These training sessions are designed to empower poultry farmers to increase productivity, reduce poultry mortality caused by diseases, and improve household incomes through efficient and sustainable poultry farming practices.

What makes Faith4Restoration unique is its faith-based approach that integrates theology, ecology, and social values. Through this model, communities are encouraged to care for God's creation through practical actions that promote environmental conservation, community well-being, and resilience to the impacts of climate change.

🀝 This project is funded by CKU Denmark and implemented in partnership with WWF, RECODA, LOKEEN, and the Longido District Council.

🌍 Together, we are building knowledgeable, economically empowered, and climate-resilient communities capable of addressing current and future environmental challenges.

πŸ’¬ What role do you think poultry farming can play in improving household income and food security in rural communities?

πŸ‘‡ Share your thoughts in the comments below.





πŸŽ“πŸŒ± NOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU MASHULENIElimu bora haijengwi darasani pekee, ba...
03/06/2026

πŸŽ“πŸŒ± NOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU MASHULENI

Elimu bora haijengwi darasani pekee, bali pia kwa kuwapa wanafunzi maarifa na stadi za maisha zitakazowasaidia kuwa viongozi na walinzi wa usalama wa chakula wa kesho.

Kupitia Mradi wa NOURISH Tanzania, mafunzo kuhusu usalama wa chakula, lishe bora na kilimo himilivu hayawafikii wakulima pekee, bali pia yanawafikia wanafunzi mashuleni ili kuwaandaa kuwa kizazi chenye maarifa, afya njema na uwezo wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi.

πŸ“Έ Picha hizi zinaonesha wanafunzi katika Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara wakijifunza kwa vitendo kuhusu kilimo bora, lishe na namna ya kuunganisha maarifa hayo katika maisha yao ya kila siku na katika familia zao.

Kupitia elimu hii, wanafunzi wanajengewa uwezo wa:
βœ… Kuelewa umuhimu wa lishe bora kwa afya na maendeleo yao
βœ… Kujifunza mbinu za kilimo endelevu na himilivu
βœ… Kuimarisha usalama wa chakula katika familia na jamii
βœ… Kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya katika jamii zao
βœ… Kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kwa kutumia maarifa sahihi

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

🀝 Kwa pamoja tunawekeza katika kizazi kitakachojenga Tanzania yenye:
🌿 Watoto wenye afya bora na lishe stahiki
🌿 Jamii zenye usalama wa chakula wa kudumu
🌿 Wakulima na viongozi wa kesho wenye maarifa ya kilimo himilivu
🌿 Taifa lenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

πŸ’¬ JE, UNAAMINI KUWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI KUHUSU KILIMO NA LISHE LEO NI UWEKEZAJI MUHIMU KWA TAIFA LA KESHO?

πŸ‘‡ Tuandikie maoni yako hapa chini
πŸ‘ Like k**a umehamasika
πŸ“€ Share ili ujumbe huu uwafikie wengine
πŸ“² Na usisahau kufuatilia ukurasa wetu kwa taarifa, mafanikio na simulizi zaidi za mabadiliko chanya katika jamii.

πŸŽ“πŸŒ± NOURISH TANZANIA – FOOD SECURITY, IMPROVED NUTRITION AND CLIMATE-RESILIENT AGRICULTURE IN SCHOOLS

Quality education is not built in the classroom alone. It is also about equipping students with the knowledge and life skills they need to become future leaders and champions of food security.

Through the NOURISH Tanzania Project, training on food security, good nutrition, and climate-resilient agriculture is reaching not only farmers but also students in schools, preparing them to become a generation that is knowledgeable, healthy, and capable of addressing the challenges of climate change.

πŸ“Έ These photos show students in Hanang District, Manyara Region, participating in practical learning sessions on improved agriculture, nutrition, and how to apply this knowledge in their daily lives and within their families.

Through this initiative, students are gaining the capacity to:
βœ… Understand the importance of good nutrition for their health and development
βœ… Learn sustainable and climate-resilient agricultural practices
βœ… Strengthen food security within their families and communities
βœ… Become ambassadors of positive change in their communities
βœ… Address climate change challenges through knowledge and innovation

The NOURISH Tanzania Project is implemented through a partnership between SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

🀝 Together, we are investing in a generation that will build a Tanzania with:
🌿 Healthy and well-nourished children
🌿 Communities with sustainable food security
🌿 Future farmers and leaders equipped with climate-resilient agriculture knowledge
🌿 A nation better prepared to adapt to climate change

πŸ’¬ DO YOU BELIEVE THAT TEACHING STUDENTS ABOUT AGRICULTURE AND NUTRITION TODAY IS AN IMPORTANT INVESTMENT IN TOMORROW’S FUTURE?

πŸ‘‡ Share your thoughts in the comments below
πŸ‘ Like if you are inspired
πŸ“€ Share to spread this important message
πŸ“² Don’t forget to follow our page for more updates, success stories, and inspiring stories of positive community transformation.





β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVUβ€πŸŒ±βœ¨ Kupitia maadhimisho ya Siku ya Mkulima – Farmer...
01/06/2026

β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU”

🌱✨ Kupitia maadhimisho ya Siku ya Mkulima – Farmers’ Field Day, tunaendelea kushuhudia hatua muhimu katika kuimarisha afya, lishe bora na ustawi wa jamii kupitia shughuli zilizofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida.

Wakulima na wananchi walipata fursa ya kujifunza kwa vitendo kuhusu kilimo bora na lishe, pamoja na namna ya kuviunganisha ili kuboresha usalama wa chakula na afya za familia zao. 🌾πŸ₯—

Kupitia elimu iliyotolewa, wananchi wameendelea kujengewa uwezo wa:
βœ… Kuzalisha mazao yenye lishe bora
βœ… Kuboresha mlo wa familia
βœ… Kuongeza usalama wa chakula nyumbani
βœ… Kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

🀝 Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye:
🌿 Familia zenye afya bora
🌿 Chakula cha kutosha na chenye lishe
🌿 Wakulima imara wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

πŸ’¬ JE, UNAAMINI KILIMO NA LISHE VINAWEZA KUBADILI MAISHA YA JAMII?

πŸ‘‡ Tuambie maoni yako hapa chini
πŸ‘ Like k**a umehamasika
πŸ“€ Share kuwafikishia wengine ujumbe huu muhimu
πŸ“² Na usisahau kufuatilia ukurasa wetu kwa taarifa, mafanikio na simulizi zaidi za mabadiliko chanya kwenye jamii.

β€œNOURISH TANZANIA – FOOD SECURITY, IMPROVED NUTRITION AND CLIMATE-RESILIENT AGRICULTURE”

🌱✨ Through the celebration of Farmers’ Field Day, we continue to witness important progress in strengthening health, nutrition, and community well-being through activities carried out in Mkalama District Council, Singida Region.

Farmers and community members had the opportunity to learn practical approaches to improved agriculture and nutrition, as well as how to integrate the two to enhance food security and family health. 🌾πŸ₯—

Through the training provided, communities are continuing to build their capacity to:
βœ… Produce nutritious crops
βœ… Improve family diets
βœ… Strengthen household food security
βœ… Cope with the impacts of climate change

The NOURISH Tanzania Project is being implemented through a partnership between SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

🀝 Together, we are laying the foundation for a Tanzania with:
🌿 Healthier families
🌿 Adequate and nutritious food
🌿 Resilient farmers capable of adapting to climate change

πŸ’¬ DO YOU BELIEVE AGRICULTURE AND NUTRITION CAN TRANSFORM COMMUNITIES?

πŸ‘‡ Share your thoughts in the comments below
πŸ‘ Like if you feel inspired
πŸ“€ Share to spread this important message
πŸ“² And don’t forget to follow our page for more updates, success stories, and inspiring community transformation journeys.





30/05/2026

🌍✨ Kutoka Ukame Hadi Tumaini: Simulizi la Uhimilivu dhidi ya Mabadiliko ya Tabia Nchi Likamba

Filamu hii ya makala inasimulia safari ya kusisimua ya Kitongoji cha Likamba mkoani Arusha, jamii ambayo kwa miaka mingi ilikumbwa na ukame mkali, uharibifu wa ardhi, kupungua kwa uzalishaji wa mazao na mifugo, na kufifia kwa matumaini ya wananchi wake.

Kupitia ufadhili wa CKU Denmark na msaada wa kitaalamu kutoka RECODA kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo, wananchi walipata elimu ya vitendo kuhusu namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, usimamizi endelevu wa ardhi, uhifadhi wa maji, upandaji miti, na matumizi ya teknolojia ya biogas. Eneo ambalo awali lilionekana kukosa matumaini sasa linaendelea kubadilika na kuwa jamii ya kijani, yenye uzalishaji bora na uwezo mkubwa wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Filamu hii inaonesha jinsi maarifa, ubunifu na ushirikiano wa jamii vinavyoweza kuwa nguvu ya kuleta mabadiliko chanya na kujenga mustakabali endelevu zaidi.

❓ Nini hutokea pale jamii inapokataa kushindwa na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi?

Karibu uungane nasi katika makala hii yenye kugusa moyo tunaposafiri hadi Kitongoji cha Likamba, mkoani Arusha, ambapo ukame wa muda mrefu uliwahi kutishia maisha, usalama wa chakula na mustakabali wa vizazi vijavyo.

Kupitia maarifa, dhamira na ushirikiano wa wadau wa maendeleo, jamii imeanza kurejesha uhai wa ardhi iliyoharibika, kuhifadhi maji, kurejesha uoto wa asili na kutumia nishati safi k**a biogas.

Hii si hadithi ya miti, maji au kilimo pekee. Ni simulizi la uthubutu, ubunifu na matumaini β€” ushuhuda kwamba hata jamii ndogo inaweza kuwa sauti kubwa katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi.

πŸŽ₯ Tazama, jifunze na upate hamasa kutoka katika suluhisho za ndani zinazoleta mabadiliko ya kudumu.

πŸ’¬ Jamii yako inaweza kujifunza nini kutoka safari ya Likamba?

πŸ‘ Like k**a umehamasika
πŸ“€ Share ili ujumbe huu muhimu uwafikie wengine
❀️ Fuatilia ukurasa wetu kwa simulizi zaidi za uthubutu, ubunifu na mabadiliko chanya kutoka jamii mbalimbali nchini Tanzania.

🌍 From Drought to Hope: The Story of Climate Resilience in Likamba

The documentary tells the inspiring story of Likamba hamlet in Arusha Region, a community that once faced severe drought, land degradation, declining crop and livestock production, and diminishing hope.

Through support from CKU Denmark and technical assistance from RECODA and development partners, community members gained practical knowledge on climate change adaptation, sustainable land management, water conservation, tree planting, and biogas technology. What was once a dry and struggling landscape is gradually transforming into a greener, more resilient community.

The film highlights how knowledge, innovation, and collective action can empower communities to overcome the challenges of climate change and build a more sustainable future.

What happens when a community refuses to surrender to the challenges of climate change?

Join us in this powerful documentary as we travel to Likamba Hamlet in Arusha Region, where prolonged drought once threatened livelihoods, food security, and the future of generations.

Through determination, knowledge, and support from development partners, the community has begun transforming degraded land into productive landscapes, conserving water, restoring vegetation, and embracing clean energy solutions such as biogas.

This is more than a story about trees, water, or farming. It is a story of resilience, innovation, and hopeβ€”a testament that even the smallest community can become a powerful voice for climate action.

πŸŽ₯ Watch, learn, and be inspired by how local solutions are creating lasting change.

πŸ’¬ What lessons can your community learn from Likamba's journey?

πŸ‘ Like if you are inspired
πŸ“€ Share to spread this important message
❀️ Follow our page for more stories of resilience, innovation, and positive transformation from communities across Tanzania.





β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVUβ€πŸŒ±βœ¨ Kupitia maadhimisho ya Siku ya Mkulima – Farmer...
29/05/2026

β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU”

🌱✨ Kupitia maadhimisho ya Siku ya Mkulima – Farmers’ Field Day, tunaendelea kushuhudia hatua muhimu katika kuimarisha afya, lishe bora na ustawi wa jamii kupitia shughuli zilizofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara.

Wakulima na wananchi walipata fursa ya kujifunza kwa vitendo kuhusu kilimo bora na lishe, pamoja na namna ya kuviunganisha ili kuboresha usalama wa chakula na afya za familia zao. 🌾πŸ₯—

Kupitia elimu iliyotolewa, wananchi wameendelea kujengewa uwezo wa:
βœ… Kuzalisha mazao yenye lishe bora
βœ… Kuboresha mlo wa familia
βœ… Kuongeza usalama wa chakula nyumbani
βœ… Kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

🀝 Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye:
🌿 Familia zenye afya bora
🌿 Chakula cha kutosha na chenye lishe
🌿 Wakulima imara wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

πŸ’¬ JE, UNAAMINI KILIMO NA LISHE VINAWEZA KUBADILI MAISHA YA JAMII?

πŸ‘‡ Tuambie maoni yako hapa chini
πŸ‘ Like k**a umehamasika
πŸ“€ Share kuwafikishia wengine ujumbe huu muhimu
πŸ“² Na usisahau kufuatilia ukurasa wetu kwa taarifa, mafanikio na simulizi zaidi za mabadiliko chanya kwenye jamii.

β€œNOURISH TANZANIA – FOOD SECURITY, IMPROVED NUTRITION AND CLIMATE-RESILIENT AGRICULTURE”

🌱✨ Through the celebration of Farmers’ Field Day, we continue to witness important progress in strengthening health, nutrition, and community well-being through activities carried out in Hanang District Council, Manyara Region.

Farmers and community members had the opportunity to learn practical approaches to improved agriculture and nutrition, as well as how to integrate the two to enhance food security and family health. 🌾πŸ₯—

Through the training provided, communities are continuing to build their capacity to:
βœ… Produce nutritious crops
βœ… Improve family diets
βœ… Strengthen household food security
βœ… Cope with the impacts of climate change

The NOURISH Tanzania Project is being implemented through a partnership between SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

🀝 Together, we are laying the foundation for a Tanzania with:
🌿 Healthier families
🌿 Adequate and nutritious food
🌿 Resilient farmers capable of adapting to climate change

πŸ’¬ DO YOU BELIEVE AGRICULTURE AND NUTRITION CAN TRANSFORM COMMUNITIES?

πŸ‘‡ Share your thoughts in the comments below
πŸ‘ Like if you feel inspired
πŸ“€ Share to spread this important message
πŸ“² And don’t forget to follow our page for more updates, success stories, and inspiring community transformation journeys.





🌱πŸŽ₯ β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU”Tunaposherehekea Sikukuu ya Eid Al Adha, tunaen...
27/05/2026

🌱πŸŽ₯ β€œNOURISH TANZANIA – USALAMA WA CHAKULA, LISHE BORA NA KILIMO HIMILIVU”

Tunaposherehekea Sikukuu ya Eid Al Adha, tunaendelea kushuhudia hatua muhimu za kuimarisha afya, lishe na ustawi wa jamii kupitia shughuli zilizofanyika katika Kijiji cha Nselembwe, Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.

Kupitia Farmers’ Field Day pamoja na Village Health and Nutrition Day, wakulima na wananchi walipata fursa ya kujifunza kwa vitendo kuhusu uhusiano mkubwa uliopo kati ya kilimo na lishe, pamoja na namna bora ya kuviunganisha ili kuboresha usalama wa chakula na afya za familia.

πŸŒΎπŸ… Elimu iliyotolewa imeendelea kuwajengea wananchi uwezo wa:
βœ… Kuzalisha mazao yenye lishe bora
βœ… Kuboresha mlo wa familia
βœ… Kuongeza usalama wa chakula nyumbani
βœ… Kujenga uwezo wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

🀝 Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye:
🌿 Familia zenye afya bora
🌾 Chakula cha kutosha
πŸ’ͺ Wakulima imara na wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

πŸ”₯ JE, UNAAMINI KILIMO NA LISHE VINAWEZA KUBADILI MAISHA YA JAMII?

πŸ’¬ Tuambie maoni yako hapo chini
πŸ‘ Like k**a umehamasika
πŸ“€ Share kuwafikishia wengine ujumbe huu muhimu
❀️ Na usisahau kufuatilia ukurasa wetu kwa taarifa, mafanikio na simulizi zaidi za mabadiliko chanya kwenye jamii.

🌱πŸŽ₯ β€œNOURISH TANZANIA – FOOD SECURITY, IMPROVED NUTRITION AND CLIMATE-RESILIENT AGRICULTURE”

As we celebrate Eid Al Adha, we continue to witness important steps toward improving health, nutrition, and community well-being through activities conducted in Nselembwe Village, Iramba District Council.

Through the Farmers’ Field Day and the Village Health and Nutrition Day, farmers and community members had the opportunity to learn practical approaches on the strong connection between agriculture and nutrition, as well as effective ways of integrating the two to improve household food security and family health.

πŸŒΎπŸ… The training provided has continued to empower communities to:
βœ… Produce nutritious crops
βœ… Improve family diets
βœ… Strengthen household food security
βœ… Build resilience against the effects of climate change

The NOURISH Tanzania Project is implemented in partnership with SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

🀝 Together, we are laying the foundation for a Tanzania with:
🌿 Healthy families
🌾 Sufficient and nutritious food
πŸ’ͺ Resilient farmers capable of adapting to climate change

πŸ”₯ DO YOU BELIEVE AGRICULTURE AND NUTRITION CAN TRANSFORM COMMUNITIES?

πŸ’¬ Share your thoughts in the comments below
πŸ‘ Like if you are inspired
πŸ“€ Share to spread this important message
❀️ And don’t forget to follow our page for more updates, success stories, and inspiring community transformations.





🌱✨ MPWAPWA YANG’ARA KWA KILIMO, LISHE NA AFYA YA JAMII! Kupitia Mradi wa NOURISH Tanzania, wakulima wa vijiji mbalimbali...
25/05/2026

🌱✨ MPWAPWA YANG’ARA KWA KILIMO, LISHE NA AFYA YA JAMII!

Kupitia Mradi wa NOURISH Tanzania, wakulima wa vijiji mbalimbali vya Mpwapwa wanaendelea kupata elimu ya kilimo himilivu, lishe bora na afya ya jamii kupitia Mashamba Darasa (Demo Plots), Siku ya Mkulima (Farmer Field Day) na Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji (Village Health & Nutrition Day). 🌾πŸ₯—

Kuanzia mashamba darasa ya mtama na alizeti hadi mafunzo ya lishe na upishi wa vyakula vya makundi sita ya chakula, jamii inawezeshwa kujenga maisha bora, afya njema na ustawi endelevu. πŸ‘¨πŸ½β€πŸŒΎπŸ‘©πŸ½β€πŸŒΎβœ¨

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye familia zenye afya, chakula cha kutosha na wakulima wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. πŸŒπŸ’š

🌱✨ MPWAPWA SHINES THROUGH AGRICULTURE, NUTRITION, AND COMMUNITY HEALTH!

Through the NOURISH Tanzania Project, farmers from different villages in Mpwapwa continue to receive training on climate-resilient agriculture, proper nutrition, and community health through Demo Plots, Farmer Field Days, and Village Health & Nutrition Days. 🌾πŸ₯—

From sorghum and sunflower demonstration farms to nutrition education and cooking sessions featuring all six food groups, communities are being empowered to build better livelihoods, healthier families, and sustainable development. πŸ‘¨πŸ½β€πŸŒΎπŸ‘©πŸ½β€πŸŒΎβœ¨

The NOURISH Tanzania Project is implemented in partnership with SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

Together, we are laying the foundation for a Tanzania with healthy families, sufficient food, and resilient farmers capable of adapting to climate change. πŸŒπŸ’š





23/05/2026

HIGHLIGHTS

🌱✨ MPWAPWA YANG’ARA KWA KILIMO, LISHE NA AFYA YA JAMII!

Kupitia Mradi wa NOURISH Tanzania, wakulima wa vijiji mbalimbali vya Mpwapwa wanaendelea kupata elimu ya kilimo himilivu, lishe bora na afya ya jamii kupitia Mashamba Darasa (Demo Plots), Siku ya Mkulima (Farmer Field Day) na Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji (Village Health & Nutrition Day). 🌾πŸ₯—

Kuanzia mashamba darasa ya mtama na alizeti hadi mafunzo ya lishe na upishi wa vyakula vya makundi sita ya chakula, jamii inawezeshwa kujenga maisha bora, afya njema na ustawi endelevu. πŸ‘¨πŸ½β€πŸŒΎπŸ‘©πŸ½β€πŸŒΎβœ¨

Mradi wa NOURISH Tanzania unatekelezwa kwa ushirikiano wa SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, na T-MARC kwa ufadhili wa NORAD.

Kwa pamoja tunaweka msingi wa Tanzania yenye familia zenye afya, chakula cha kutosha na wakulima wenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. πŸŒπŸ’š

🌱✨ MPWAPWA SHINES THROUGH AGRICULTURE, NUTRITION, AND COMMUNITY HEALTH!

Through the NOURISH Tanzania Project, farmers from different villages in Mpwapwa continue to receive training on climate-resilient agriculture, proper nutrition, and community health through Demo Plots, Farmer Field Days, and Village Health & Nutrition Days. 🌾πŸ₯—

From sorghum and sunflower demonstration farms to nutrition education and cooking sessions featuring all six food groups, communities are being empowered to build better livelihoods, healthier families, and sustainable development. πŸ‘¨πŸ½β€πŸŒΎπŸ‘©πŸ½β€πŸŒΎβœ¨

The NOURISH Tanzania Project is implemented in partnership with SNV, Farm Africa, RECODA, MIICO, and T-MARC with funding support from NORAD.

Together, we are laying the foundation for a Tanzania with healthy families, sufficient food, and resilient farmers capable of adapting to climate change. πŸŒπŸ’š





🌱✨ KILIMOIKOLOJIA KWA VITENDO: TUKIUNDA MUSTAKABALI WA KILIMO ENDELEVU TANZANIA! Kuanzia tarehe 18–21 Mei 2026, wataalam...
23/05/2026

🌱✨ KILIMOIKOLOJIA KWA VITENDO: TUKIUNDA MUSTAKABALI WA KILIMO ENDELEVU TANZANIA!

Kuanzia tarehe 18–21 Mei 2026, wataalamu wa kilimo, wadau, na washirika kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania walikusanyika wilayani Tarime, mkoani Mara, kwa ziara ya mafunzo ya vitendo ya Mradi wa AgroKilimo iliyofanyika katika Kituo cha Mogabiri Farm Extension Centre (MFEC).

Ziara hiyo iliwaunganisha wawakilishi kutoka vituo sita vinavyoongoza katika kilimoikolojia nchini β€” RECODA, Practical Permaculture Institute Zanzibar (PPIZ), Mogabiri Farm Extension Centre (MFEC), SJS Organic, Sustainable Agriculture Tanzania (SAT), pamoja na Agroecology Hub in Tanzania (AEHT), huku Wizara ya Kilimo pia ikishiriki kupitia kituo cha Bihawana Agricultural Centre.

Ziara hiyo iliyoratibiwa na Iles de Paix Tanzania (IDP) kupitia Mradi wa AgroKilimo unaofadhiliwa na Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania, ilitoa jukwaa muhimu la kujifunza, kushirikiana, na kuendeleza ubunifu katika kilimoikolojia. 🌾🌍

Washiriki walitembelea mashamba ya kilimoikolojia ya MFEC na kushirikiana moja kwa moja na wakulima katika vijiji vya Kitenga na Kewamamba, wakijadili mbinu endelevu za kilimo, mifumo himilivu ya chakula, pamoja na dira ya baadaye ya AgroKilimo 2.

Kilimoikolojia ni zaidi ya kilimo β€” ni njia ya kuelekea usalama wa chakula, ulinzi wa mazingira, na jamii imara zenye uwezo wa kujenga mustakabali wao wenyewe. 🌿✨

Kwa pamoja, tunaendelea kujenga mustakabali wa kilimo Tanzania ulio na tija, unaotegemea maarifa, na wenye uendelevu.

🌱✨ AGROECOLOGY IN ACTION: SHAPING THE FUTURE OF SUSTAINABLE FARMING IN TANZANIA!

From 18–21 May 2026, agricultural experts, practitioners, and partners from across Tanzania gathered in Tarime District, Mara Region for a transformative AgroKilimo Project field study visit hosted at the Mogabiri Farm Extension Centre (MFEC).

The visit brought together representatives from six leading agroecology centres β€” RECODA, Practical Permaculture Institute Zanzibar (PPIZ), Mogabiri Farm Extension Centre (MFEC), SJS Organic, Sustainable Agriculture Tanzania (SAT), and the Agroecology Hub in Tanzania (AEHT), with participation from the Ministry of Agriculture (Bihawana Agricultural Centre).
Coordinated by Iles de Paix Tanzania (IDP) under the AgroKilimo Project and funded by the Embassy of France in Tanzania, the study visit created a platform for learning, collaboration, and innovation in agroecology. 🌾🌍

Participants explored MFEC agroecology fields and engaged directly with farmers in Kitenga and Kewamamba villages, discussing sustainable farming practices, resilient food systems, and the future vision of AgroKilimo 2.

Agroecology is more than farming β€” it is a pathway toward food security, environmental protection, and resilient communities empowered to shape their own future. 🌿✨

Together, we are building a productive, knowledge-driven, and sustainable agricultural future for Tanzania.

β€œTata Sakuru Bati, Sakuru Mwita…”

🌱🍎 AFYA NJEMA KWA WANAFUNZI, TAIFA IMARA KESHO! πŸŽ“Kupitia mradi wa Kilimo Endelevu KEA - AFD, kampeni za lishe mashuleni ...
20/05/2026

🌱🍎 AFYA NJEMA KWA WANAFUNZI, TAIFA IMARA KESHO! πŸŽ“

Kupitia mradi wa Kilimo Endelevu KEA - AFD, kampeni za lishe mashuleni zimeendelea kwa mafanikio makubwa katika:

πŸ“ Shule ya Sekondari Loskito – Kijiji cha Loskito
πŸ“ Shule ya Sekondari Osiligi – Kijiji cha Ekenywa
πŸ“ Shule ya Sekondari Engawalet – Kijiji cha Engutoto, Kata ya Mwandet

Kampeni hizi zimepokelewa kwa mwitikio mkubwa kutoka kwa walimu na wanafunzi, zikionyesha hamasa kubwa ya kujifunza kuhusu lishe bora, afya na usalama wa chakula. πŸ₯—πŸŒ½

Kupitia elimu hii, wanafunzi wanawezeshwa kuelewa umuhimu wa:

βœ… Lishe bora kwa afya na maendeleo
βœ… Kilimo endelevu na matumizi sahihi ya ardhi
βœ… Usalama wa chakula kwa familia na jamii

Mradi wa Kilimo Endelevu KEA - AFD unatekelezwa na CARI, RECODA, na MVIWAARUSHA kwa lengo la kuhamasisha kilimo ikolojia, usimamizi endelevu wa ardhi, na usalama wa chakula Kaskazini mwa Tanzania. 🌍🌱

πŸ’¬ Je, unaamini elimu ya lishe mashuleni inaweza kuwa suluhisho la kupambana na utapiamlo katika jamii? Tuambie maoni yako hapo chini! πŸ‘‡

🌱🍎 HEALTHY STUDENTS TODAY, A STRONGER NATION TOMORROW! πŸŽ“

Through the Kilimo Endelevu KEA - AFD Project, school nutrition campaigns have been successfully conducted at:

πŸ“ Loskito Secondary School – Loskito Village
πŸ“ Osiligi Secondary School – Ekenywa Village
πŸ“ Engawalet Secondary School – Engutoto Village, Mwandet Ward

These campaigns have received a very positive response from both teachers and students, demonstrating strong enthusiasm for learning about proper nutrition, health, and food security. πŸ₯—πŸŒ½

Through this awareness program, students are gaining a better understanding of:

βœ… The importance of proper nutrition for health and development
βœ… Sustainable agriculture and responsible land use
βœ… Food security for families and communities

The Kilimo Endelevu KEA - AFD Project is implemented by CARI, RECODA, and MVIWAARUSHA with the aim of promoting agroecology, sustainable land management, and food security in Northern Tanzania. 🌍🌱

πŸ’¬ Do you believe nutrition education in schools can be a solution to fighting malnutrition in our communities? Share your thoughts in the comments below! πŸ‘‡

Address

NanenaneThemi Ground – Njiro, P. O. Box 10633 Arusha
Arusha
255

Opening Hours

Monday 01:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Recoda Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share