Recoda Tanzania

Recoda Tanzania RECODA is a Tanzanian NGO existing to bridge the technology gap in development. www.recoda.or.tz

Njaa na Umasikini kua historia, Inawezekana.Nukuu kutoka kwa wanakikundi waliopata elimu na kutengeneza bustani kihenge ...
06/08/2026

Njaa na Umasikini kua historia, Inawezekana.

Nukuu kutoka kwa wanakikundi waliopata elimu na kutengeneza bustani kihenge kwenye kaya zao.

“Kipindi tunaoneshwa mfano na kutengeneza hatukuamini k**a kwa mduara mmoja unaweza tosha familia huku ukitumia maji ndoo 2 mpaka 3 kwa wiki kwa udogo huu lakini iewezekana kweli na sasa tunakula hadi ziada tunauza”

Making Hunger and Poverty History is Possible.

A testimonial from community group members who established keyhole gardens at their households:

“When we were first shown how to build a keyhole garden, we found it hard to believe that such a small circular garden could produce enough vegetables to feed an entire family using only two to three buckets of water per week. But it truly works. Today, our families have enough fresh vegetables to eat, and we even produce a surplus that we can sell.”

🌟 Employee of the Week 🌟Congratulations to our Project Officer for being recognized as Employee of the Week!Your dedicat...
02/08/2026

🌟 Employee of the Week 🌟

Congratulations to our Project Officer for being recognized as Employee of the Week!

Your dedication, professionalism, and commitment to planning, coordinating, and implementing impactful projects continue to make a meaningful difference in the communities we serve. Thank you for your hard work, passion, and unwavering commitment to excellence.

Keep up the outstanding work—your efforts inspire us all!

01/08/2026

Longido Inabadilika - Faith4Restoration Yaunganisha Imani, Mazingira na Maendeleo ya Jamii

Mradi wa Faith4Restoration unaendelea kuleta matokeo chanya Longido kupitia uhifadhi wa mazingira, bustani za nyumbani, uzalishaji wa mbegu za nyasi kwa ajili ya malisho ya wakati wa ukame, na ufugaji wa kuku na nyuki. Kwa ushirikiano na taasisi za kidini na viongozi wa kimila, mradi unaendelea kurejesha mazingira na kuboresha maisha ya jamii kwa njia endelevu.

Kinachoufanya Faith4Restoration kuwa wa kipekee ni mtazamo wake wa kiimani unaounganisha theolojia, ikolojia na maadili ya kijamii—kuhamasisha utunzaji wa uumbaji wa Mungu kwa vitendo vinavyolinda mazingira na kujenga jamii imara dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Mradi huu unafadhiliwa na CKU Denmark na kutekelezwa kwa ushirikiano na WWF, RECODA, LOKEEN, pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Longido. Kwa pamoja tunaweza kurejesha mazingira na kujenga mustakabali endelevu.

Longido is Transforming - Faith4Restoration Unites Faith, Environment, and Community Development

The Faith4Restoration Project continues to create positive impact in Longido District through environmental conservation, home gardens, grass seed production for dry season livestock feed, and poultry and beekeeping initiatives.

What makes Faith4Restoration unique is its faith-based approach, integrating theology, ecology, and social values to inspire practical stewardship of God's creation while building resilient communities in the face of climate change.

The project is funded by CKU Denmark and implemented in partnership with WWF, RECODA, LOKEEN, and the Longido District Council. Together, we can restore ecosystems and build a more sustainable future.

Kutoka Kuku 2 Hadi 300, Nguvu ya Mradi InazungumzaMapema leo, 31 Julai 2026, timu ya wafanyakazi kutoka Makao Makuu ya R...
31/07/2026

Kutoka Kuku 2 Hadi 300, Nguvu ya Mradi Inazungumza

Mapema leo, 31 Julai 2026, timu ya wafanyakazi kutoka Makao Makuu ya RECODA, Arusha ilitembelea ofisi za Nyaronga na Kasanda Area Programs (AP), Wilaya ya Kakonko, Mkoa wa Kigoma.

Timu ilikutana na Mratibu wa Mradi, Ndugu Fadhili Nicodemus, pamoja na Special Project Facilitator (SPF), Bwana Emmanuel Makelele, kujadili masuala muhimu ya mradi. Pia, wakulima kutoka Vijiji vya Kasanda na Gwarama walitembelewa na kushirikishwa katika mazungumzo kuhusu mradi.

Ziara ilikuwa na hadithi ya kusisimua ya James Caristo, mfugaji kutoka Kikundi cha Umoja, Kijiji cha Gwarama aliyeelezea jinsi alivyoanza na kuku wawili tu, na leo anamiliki zaidi ya kuku 300 pamoja na incubator ya kutotoleshea vifaranga.

Hii ndiyo nguvu ya Mradi wa Nyaronga AP unaotekelezwa kwa ushirikiano wa World Vision Tanzania (WVT) na RECODA unaokusudia kuboresha uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo na kuinua kipato cha kaya.

From 2 Chickens to 300, The Power of Partnership in Action

Today, 31 July 2026, staff from RECODA Headquarters in Arusha visited the Nyaronga and Kasanda Area Program (AP) offices in Kakonko District, Kigoma Region.

The team held productive meetings with Area Project Coordinator Fadhili Nicodemus and Special Project Facilitator Emmanuel Makele, discussing key project matters. Farmers from Kasanda and Gwarama villages were also visited for direct community engagement.

The highlight of the visit was the inspiring story of James Caristo, a farmer from Umoja Group, Gwarama Village who shared his remarkable journey from just 2 chickens to owning over 300 chickens and his very own egg incubator.

This is the transformative power of the Nyaronga AP Project implemented through the partnership of World Vision Tanzania (WVT) and RECODA aiming at improving crop and livestock production and raising household incomes.

Mafunzo ya Uzalishaji Bora wa Kuku
30/07/2026

Mafunzo ya Uzalishaji Bora wa Kuku

Miaka 15 ya Mabadiliko, Urithi Ambao HautakwishaBaada ya miaka 15 ya kubadilisha maisha katika Wilaya za Buhigwe na Kasu...
30/07/2026

Miaka 15 ya Mabadiliko, Urithi Ambao Hautakwisha

Baada ya miaka 15 ya kubadilisha maisha katika Wilaya za Buhigwe na Kasulu, Mkoa wa Kigoma, Muhe and Buhoma Area Program imehitimishwa rasmi, ikiacha nyuma urithi wa nguvu wa uwezeshaji wa jamii, miundombinu imara na maendeleo endelevu.

Mkurugenzi Msaidizi wa WVT Stephen Joseph Nyagonde alipongeza ushirikiano thabiti kati ya Serikali, World Vision Tanzania, RECODA, Vision Fund na jamii.

Meneja wa Kanda ya Magharibi ya WVT Jacqueline Kaihura aliziagiza jamii kulinda na kudumisha miradi na miundombinu iliyoanzishwa ili vizazi vya sasa na vya kesho viendelee kufaidika.

Wakurugenzi wa Wilaya za Buhigwe na Kasulu walishukuru WVT kwa mchango mkubwa katika sekta za afya, elimu, maji, usafi na maendeleo ya jamii. Programu imeisha lakini athari zake chanya zitaendelea.

Fifteen Years of Impact, A Legacy That Will Never End

After 15 remarkable years of transforming lives in Buhigwe and Kasulu Districts, Kigoma Region, the Muhe and Buhoma Area Program has officially concluded, leaving behind a powerful legacy of community empowerment, resilient infrastructure, and sustainable development.

Speaking at the closing ceremony, WVT Associate Director Stephen Joseph Nyagonde commended the strong partnership between the Government, World Vision Tanzania, RECODA, Vision Fund, and local communities in delivering lasting impact.

WVT Western Cluster Manager Jacqueline Kaihura urged communities to protect and sustain all projects and infrastructure established ensuring that both present and future generations continue to benefit.

District Commissioners of Buhigwe and Kasulu expressed deep appreciation for WVT's significant contributions across health, education, water, sanitation, and community development.

The programme has ended but its impact lives on continuously

Wakulima Wajipanga kwa Msimu Ujao na Kuimarisha Vikundi kwa Maendeleo EndelevuWakulima wameonesha dhamira kubwa ya kujia...
28/07/2026

Wakulima Wajipanga kwa Msimu Ujao na Kuimarisha Vikundi kwa Maendeleo Endelevu

Wakulima wameonesha dhamira kubwa ya kujiandaa kwa msimu ujao wa kilimo na wako tayari kuanzisha mashamba darasa (model farms) katika maeneo yao binafsi ili kuendeleza matumizi ya mbinu bora za kilimo na kuongeza uzalishaji.

Shughuli za ufuatiliaji na kuimarisha vikundi vya wakulima ziliendelea kutekelezwa, zikijumuisha maandalizi ya katiba za vikundi, usajili wa vikundi, uanzishaji na uimarishaji wa vikundi vya VSLA, uanzishaji wa mifuko ya pembejeo za kilimo, pamoja na kuanzisha bustani za mboga za kaya kwa ajili ya kuboresha lishe na usalama wa chakula.

Picha hizi zilipigwa katika maeneo ya utekelezaji wa Mradi wa NOURISH katika Halmashauri za Wilaya za Mpwapwa, Kongwa na Babati.

Farmers Prepare for the Upcoming Season and Strengthen Groups for Sustainable Development

Farmers demonstrated a strong commitment to preparing for the upcoming agricultural season and expressed their readiness to establish model farms on their individual farms as a way of promoting improved farming practices and increasing productivity.

Follow-up and strengthening activities for farmer groups continued, including the preparation of group constitutions, group registration, establishment and strengthening of VSLA groups, creation of agricultural input funds, and establishment of household kitchen gardens to improve nutrition and food security.

These photos were taken from the NOURISH Project implementation areas in Mpwapwa District Council, Kongwa District Council, and Babati District Council.

Akina Mama Wajifunza Lishe Bora Kupitia Mafunzo ya Uchakataji wa VyakulaKatika utekelezaji wa mradi wa Wasa AP Iringa, y...
28/07/2026

Akina Mama Wajifunza Lishe Bora Kupitia Mafunzo ya Uchakataji wa Vyakula

Katika utekelezaji wa mradi wa Wasa AP Iringa, yalifanyika mafunzo ya uchakataji rahisi wa vyakula na mapishi bora ya lishe kwa jamii. Mafunzo hayo yalihudhuriwa na akina mama pamoja na watoto wao, jambo lililochochea ushiriki wa familia katika kujifunza na kutumia vyakula vyenye lishe bora.

Washiriki walipata fursa ya kuandaa na kula vyakula vilivyopikwa wakati wa mafunzo, huku wakijifunza namna ya kutumia mazao yanayopatikana nyumbani kuboresha lishe ya watoto na familia kwa ujumla.

Miongoni mwa bidhaa zilizotengenezwa kwa mafanikio ni keki ya viazi lishe na chipsi za viazi lishe, ambazo ni mifano bora ya kuongeza thamani ya mazao ya kilimo na kuandaa vitafunwa vyenye lishe.

Mafunzo haya yanaendelea kuhamasisha familia kutumia vyakula vya asili vilivyo salama, vyenye lishe na vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira yao.

Mothers Learn Better Nutrition Through Food Processing Training

As part of the implementation of the Wasa AP Iringa Project, training on simple food processing and improved nutritious cooking practices was conducted for community members. The training was attended by mothers together with their children, which enhanced family participation in learning about and using nutritious foods.

Participants had the opportunity to prepare and eat the food cooked during the training while learning how to use locally available crops to improve the nutrition of children and the household as a whole.

Amongst the products successfully prepared were nutritious sweet potato cake and sweet potato chips, which serve as excellent examples of value addition to agricultural produce and the preparation of healthy, nutritious snacks.

This week, we are proud to recognize our Monitoring, Evaluation and Learning (MEAL ) Officer for outstanding dedication,...
26/07/2026

This week, we are proud to recognize our Monitoring, Evaluation and Learning (MEAL ) Officer for outstanding dedication, professionalism, and commitment to strengthening our programs through evidence-based learning and accountability.

With a keen eye for detail and a passion for quality data, our MEAL Officer plays a vital role in tracking progress, measuring impact, and generating insights that drive informed decision-making.

Walimu Kutoka Ubelgiji Watembelea Mradi wa Kilimo Endelevu kijijini Loskito
25/07/2026

Walimu Kutoka Ubelgiji Watembelea Mradi wa Kilimo Endelevu kijijini Loskito

Address

NanenaneThemi Ground – Njiro, P. O. Box 10633 Arusha
Arusha
255

Opening Hours

Monday 01:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Recoda Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share