24/07/2025
English Swahili. James 2:14,17-26
[14]What doth it profit, my brethren, though a man say he hath faith, and have not works? can faith save him?
Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?
[17]Even so faith, if it hath not works, is dead, being alone.
Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.
[18]Yea, a man may say, Thou hast faith, and I have works: shew me thy faith without thy works, and I will shew thee my faith by my works.
Lakini mtu atasema, Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.
[19]Thou believest that there is one God; thou doest well: the devils also believe, and tremble.
Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.
[20]But wilt thou know, O vain man, that faith without works is dead?
Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?
[21]Was not Abraham our father justified by works, when he had offered Isaac his son upon the altar?
Je! Baba yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipomtoa Isaka mwanawe juu ya madhabahu?
[22]Seest thou how faith wrought with his works, and by works was faith made perfect?
Waona kwamba imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake, na ya kwamba imani ile ilikamilishwa kwa njia ya matendo yale.
[23]And the scripture was fulfilled which saith, Abraham believed God, and it was imputed unto him for righteousness: and he was called the Friend of God.
Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.
[24]Ye see then how that by works a man is justified, and not by faith only.
Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.
[25]Likewise also was not Rahab the harlot justified by works, when she had received the messengers, and had sent them out another way?
Vivyo hivyo na Rahabu, yule kahaba naye, je! Hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipowakaribisha wajumbe, akawatoa nje kwa njia nyingine?
[26]For as the body without the spirit is dead, so faith without works is dead also.
Maana k**a vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.
What has the faith you have in Christ moved you to do,works of faith denotes true faith in God.For example,in the Bible there was a woman who bleed for 12 years,she used whatever she had to cater for her sickness but all wasted for nothing.After realising nothing of her efforts can save her from her condition,she learnt how to believe in Christ,she realised and believed that every solution to her problems could be solved only by Christ.The faith in Jesus Christ she had drove her to action,"if I touch His cloth,I will be healed ,it was an action of faith,i.e works of faith.Today ,do you believe in Jesus Christ,in all areas of your life,how does that faith in Jesus Christ making you to react?? If we correctly believe in Christ our Lord,we cannot help but change accordingly to what and how we believed He will do for us.Amen