16/10/2024
Graca Machel ndie mwanamke pekee duniani kuwa 'First Lady' kwenye nchi mbili tofauti.
Mwaka 1975 aliolewa nchini kwao Msumbiji na aliyekuwa Rais wa mwanzo wa nchi hiyo bwana Samora Machel. Samora Machel alifariki dunia mwaka 1986 kwa ajali ya ndege
Mwaka 1998 aliolewa na Rais wa Afrika Kusini bwana Nelson Mandela. Bwana Mandela alifariki mwaka 2013 baada ya kuugua kwa muda mrefu
Kwa historia yake kamili please SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya YouTube ' Swahili Media Network '
Leo historia yake inamzungumzia Bi Graca Machel ambaye aliwahi kuwa mke wa Rais Msumbiji na baadae kuwa mke wa Rais wa Afrika Kusini ...