Youth Support & Education Hub

Youth Support & Education Hub It's non profitable organisation that will be working with young people

Graca Machel ndie mwanamke pekee duniani kuwa 'First Lady' kwenye nchi mbili tofauti.Mwaka 1975 aliolewa nchini kwao Msu...
16/10/2024

Graca Machel ndie mwanamke pekee duniani kuwa 'First Lady' kwenye nchi mbili tofauti.

Mwaka 1975 aliolewa nchini kwao Msumbiji na aliyekuwa Rais wa mwanzo wa nchi hiyo bwana Samora Machel. Samora Machel alifariki dunia mwaka 1986 kwa ajali ya ndege

Mwaka 1998 aliolewa na Rais wa Afrika Kusini bwana Nelson Mandela. Bwana Mandela alifariki mwaka 2013 baada ya kuugua kwa muda mrefu

Kwa historia yake kamili please SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya YouTube ' Swahili Media Network '

Leo historia yake inamzungumzia Bi Graca Machel ambaye aliwahi kuwa mke wa Rais Msumbiji na baadae kuwa mke wa Rais wa Afrika Kusini ...

Address

Leicester

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Youth Support & Education Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organisation

Send a message to Youth Support & Education Hub:

Share