MYK Na Neno La Mungu

MYK Na Neno La Mungu Katika Neno la Mungu tunaupata utajiri wote (Dans la parole de Dieu nous trouvons toutes les richesse

ETI "OMBEA KANISA" HILI LA ROMA 🇷🇴 IKULU YA VANTIKANI WASILIJUA, ANZENI KUOMBA NA KUFUNGA MTAELEWA NYUMA YA WAKATI!!!Pap...
28/01/2026

ETI "OMBEA KANISA" HILI LA ROMA 🇷🇴 IKULU YA VANTIKANI WASILIJUA, ANZENI KUOMBA NA KUFUNGA MTAELEWA NYUMA YA WAKATI!!!

Papa Leo amteua askofu mpya ANAYEKATAA mafundisho ya Kikatoliki kuhusu ndoa na kujamiiana. Ombea Kanisa!

https://www.lifesitenews.com/analysis/pope-leo-xiv-appoints-bishop-who-rejects-catholic-natural-law-teaching-on-sexuality/?utm_source=lsncathfb

Kwa maelezo zaidi bunyeza hapo juu kwenye hiyo link
Asante sana kutu follow, usikose ku share ku like na ku comment

HUYU MWAMBA MWEUSI HATARI ANAMFYENYATA MWENZAKE MWANAUME TENA MZUNGU CATHOLIC NAFANYA UASI MKUBWA NAMNA HII "UKENGEUFU"●...
27/01/2026

HUYU MWAMBA MWEUSI HATARI ANAMFYENYATA MWENZAKE MWANAUME TENA MZUNGU CATHOLIC NAFANYA UASI MKUBWA NAMNA HII "UKENGEUFU"
● CATHOLIC KANISA LA KIMITUME HUU NDIYO MSINGI WA MITUME NA MANABII? MIMI NIKIWAONYA KWAMBA HAMPO SAHIHI NA INJILI YA YESU KRISTO MNATUKEJELI NA MATUSI MENGI :

🔹 Utambulisho: Mwanaume Mweusi kwenye picha ni Innocent Ndubuisi Okechukwu, Mnigeria. Yeye ni mtunzi na mpiga kinanda hodari aliye na taaluma na asili ya muziki. 🔹 Asili ya kidini: Alianza masomo yake katika seminari ndogo ya Kikatoliki (shule ya sekondari) ambapo alijihusisha na muziki. Kinyume na uvumi fulani, hakuwahi kuhudhuria seminari kuu. 🔹 Mchumba: Mzungu kando yake anaitwa Greg. Yeye ni mwanakwaya na mhadhiri katika Kanisa la Maaskofu. 🔹 Mahali na msimamizi: Sherehe ilifanyika katika Kanisa la Maaskofu la St. Andrew's huko Downers Grove, Illinois (Marekani). Ilisimamiwa na Mchungaji Gregg Morris, mkuu wa parokia hiyo. 🔹 Muktadha wa Kanisa: Kanisa la Maaskofu ni la Ushirika wa Anglikana duniani kote (unaohusishwa na Askofu Mkuu wa Canterbury). Dhehebu hili linawaidhinisha rasmi makasisi wake kusherehekea ndoa za watu wa jinsia moja. Natumai ufafanuzi huu utasaidia kuelewa hali hiyo vizuri. Asante kwa umakini wako! 🙏✨

Mpaka hapa nasubiri mvua ya comments inyeshe utaona watakao simama kupinga, kujivunia na kijipiga vifua kutetea na kukosha mkaa kana kwamba utageuka mweupe

Jamani watu wa Mungu karibuni nyote kutufuatilia kwenye mtandao hii ya kijamii
21/01/2025

Jamani watu wa Mungu karibuni nyote kutufuatilia kwenye mtandao hii ya kijamii

LE MASSONGE DOMINE QUE TOUTES CHOSES DANS CE MONDE
04/09/2024

LE MASSONGE DOMINE QUE TOUTES CHOSES DANS CE MONDE

Regarde la vidéo de meshach buloze.

TUKUTANE KWENYE SHAHIDI TV LEO HII MAJIRA YA SAA KUMI KAMILI Somo : KUKUSANYA MABAKI
01/08/2024

TUKUTANE KWENYE SHAHIDI TV LEO HII MAJIRA YA SAA KUMI KAMILI
Somo : KUKUSANYA MABAKI

Umilele umo tu ndani yake yeye aliyekuwako, aliyeko na atakayekuweko
01/07/2024

Umilele umo tu ndani yake yeye aliyekuwako, aliyeko na atakayekuweko

Regarde la vidéo de meshach buloze.

NAOMBA ULIJUWE HILI NA KULIZINGATIA KATIKA VITU VISIVYO ZUWIILIKA NI INJILI YA YESU KRISTO Matendo ya Mitume 26:14
21/05/2024

NAOMBA ULIJUWE HILI NA KULIZINGATIA
KATIKA VITU VISIVYO ZUWIILIKA NI INJILI YA YESU KRISTO
Matendo ya Mitume 26:14

29/04/2024

Naam Waebrania 1 :1 - 2

¹ Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
² mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

Ni nani anayesema nawe???
Ni nani anayesema na hawa wachungaji , manabii, mitume, maaskofu, makardinali na wengine wote wa leo kwa mbwembwe na vituko wafanyavyo?

TOWA MAONI YAKO KWENYE COMMENTI KWA MIFANO HAI NA MAANDIKO

Shalom Shalom wana na binti za Mungu Nichukuwe fursa hii kuwajuza kwamba sehemu ya copies za kitabu "IFAHAMU SIRI NZITO ...
21/04/2024

Shalom Shalom wana na binti za Mungu
Nichukuwe fursa hii kuwajuza kwamba sehemu ya copies za kitabu "IFAHAMU SIRI NZITO KUHUSU CHRISTMAS 🤶 AU NOËL" zimewasili jijini Uvira
K**a unahitaji wasiliana nasi kwenye +243990309588 WhatsApp, maana ni vichache
Nakala moja utaipata kwa bei ya 5$

Un grand merci à mes nouveaux followers ! Rebeka Isaac, Fadhili Amina karibu karibu
17/04/2024

Un grand merci à mes nouveaux followers ! Rebeka Isaac, Fadhili Amina karibu karibu

Naomba unisikilize  kumkosa Yesu Kristo maishani  ni kukosa faraja kamili haijalishi umaarufu unaoweza kuwa nao katika d...
15/04/2024

Naomba unisikilize kumkosa Yesu Kristo maishani ni kukosa faraja kamili haijalishi umaarufu unaoweza kuwa nao katika dunia :
1. Kifamilia au kijamaa
2. Kimasomo
3. Kipesa
4. Kimziki
5. Kimpira na kadhalika ...
Kuna jambo likikufika hutapata faraja kamili, Sulemani amejaribu kujipa furaha na faraja inje ya Bwana aligunduwa ilikuwa kujilisha upepo, kukimbia nyuma ya upepo na ubatili mtupu
Tafuta Yesu Kristo maishani mwako nawe utakuwa na faraja kamiji maishani mwako
Towa maoni yako kwenye commenti

14/04/2024

Adresse

De L'université
Uvira

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque MYK Na Neno La Mungu publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L’organisation

Envoyer un message à MYK Na Neno La Mungu:

Partager