20/10/2024
Nairobi County weather forecast.
Weather Mtaani: Watabiri wa hali ya hewa (KMD), wametangaza kwanzia leo Sato 19/10/2024 hadi Friday 25/10/2024 wiki ijayo , kunauwezekano wa mvua kubwa kwa muda mfupi asubuhi na mchana ikiambatana na migurumo ya radi, isipokua Tuesday hadi Friday asubuhi kunauwezekano wa vipindi vya jua, Sehemu Nyingi mwa Nairobi. Tunawashauri kujikinga kutokana na mvua kwa kubeba miavuli.
.