12/04/2026
Résumé :
Faradja ya kweli ni MUNGU ndiye anaye ileta, na roho mtakatifu analeta kuelewa.
Heri wafu wafao katika BWANA, na iyo kifo ni Baraka kwao, pia ni Ishara ya uaminifu wao katika BWANA, mpaka mwisho wa maisha yao.
katika vipindi vizito vya magumu, mateso, uthambuwe ya kwamba KRISTO iko nawe na NGUVU zake zinajaa juu yako.
Thambuwa kwamba wafu wafao katika BWANA, wana lala, wana pumzika tu.
Yesu anarudi na wale walio tayari watakwenda naye.
Ewe unaye cheza Na Zambi, juwa kwamba una cheza na imani leo, lakini kesho uthaitafuta.
8ème CEPAC ARCHE de l'alliance PANZI
MUNGU AWABARIKI.
___SERVICE MULTIMÉDIA ARCHE.