Les Amis de Ev Bertin Basimika

Les Amis de Ev Bertin Basimika "Dans la vie, il y a des gens qui n'ont que Dieu comme soutien ! "
fait attention avec eux.

06/10/2025
Parfois il faut regarder ce que Dieu te montre, pour en fin écouter ce qu'il te parle
30/06/2024

Parfois il faut regarder ce que Dieu te montre, pour en fin écouter ce qu'il te parle

✅Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele. ✅Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegem...
13/06/2024

✅Hakika hatatikisika kamwe,
mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

✅Hataogopa habari mbaya,
moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.

✅Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,
mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

📖Zaburi 112:6-8

L'église corps du Christ au Congo nous perdons une maman très importante pour notre nation, que Dieu nous viennent en ai...
13/06/2024

L'église corps du Christ au Congo nous perdons une maman très importante pour notre nation, que Dieu nous viennent en aide et particulièrement qu'il console son serviteur Marcello Tunasi

11/06/2024

Anaye Yesu ni k**a kichaka,kina unguwa na moto lakini hakiteketei.

10/06/2024

Satan n'abandonne jamais, mais plutôt il se fatigue quand vous avancez. Exode 14:15
Avance !!!

Ceux qui ont Dieu n'échouent jamais
04/06/2024

Ceux qui ont Dieu n'échouent jamais

Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini, Kila mmoja...
13/05/2024

Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini, Kila mmoja bado alikua kamkasirikia mwenzie.

Mimi na yeye wote tunafanya kazi mjini, na ni kawaida yetu kila siku kutoka pamoja kwenda kazini, tumekua ni watu wa kutaniana wakati wa kujiandaa na tunapotoka ndani anaechelewa kutoka ndo hua anatakiwa kufunga mlango, kuna wakati hua namfichia mafuta yake ya kupaka ili tu achelewe kumaliza kujiandaa na afunge mlango, utani na kuchezeana hapa na pale mda huo hua ni jadi yetu.

ila leo mambo yalikua tofauti kidogo kutokana na kutokua na maelewano.

Leo baada ya kujiandaa nilitoka nje tofauti na ilivyozoeleka na yeye akanifata nyuma, akafunga mlango tukaanza kutembea kwenda stand kupanda gari, kawaida yetu hua tunakaa seat ya pamoja ila leo kila mtu alikaa seat yake, ye alikaa mbele mie nikawa nyuma.

Pembeni ya mke wangu alikua amekaa Askari mmoja..

Asikari yule akamwangalia mke wangu Niliona jinsi alivyoangalia nywele na uso wake kwa kupendeza sana. Kisha akamwambia amependeza. Mke wangu alitabasamu na kumwambia asante.

Alimuuliza mke wangu anaenda wapi akamwambia anaenda job

Wakati wote huu, nilikuwa nimeiketi nyuma na kusikiliza mazungumzo yao.

"Naitwa Hemed" Mimi ni askari k**a unavyoniona kwenye sare zangu, nimetoka depo mwezi uliopita na sasa naelekea kwenye kituo changu cha kazi nilichopangiwa, Mke wangu alitikisa kichwa.

Kondakta alipoomba nauli kwa mke wangu, afande alijitolea kulipa, akatoa noti ya 2000 alafu akasema wawili inamaana yeye pamoja na mke wangu.

Mke wangu akamshukuru na akatabasamu

Basi afande akaendelea

"Mie nitashuka hapo mbele kituo kinachofata, hivyo naomba ukipata nafasi unawezapita hapo unisalimie nitakuepo katika kituo kidogo cha police cha Mabatini, lakini pia naomba nipate namba yako kwa mawasiliano zaidi”

Mie kwakua nilikua nyuma ya mke wangu niliyasikia maongezi yao yote, baada ya kusikia mke wangu kuombwa namba na afande Sikupoteza muda wowote tena. Nilimpiga mke wangu mabega yake mara moja.

Kageuka

Kisha nikamwambia

"I hope ulikumbuka kuweka kijiko ndani ya lunch box ya Gift? Unajua huwa unasahau.”

Mke wangu alichanganyikiwa Pengine alikuwa anajiuliza Gift ni nani, na kwanini nimeamua kuzungumza naye. Kabla hajaniuliza maswali yoyote zaidi niliongeza.

"Jaribu kumchukua kutoka shuleni mapema leo. Mie Nitachelewa kurudi nyumbani. Pia itapendeza leo upike chapati na nyama rost kwa ajili ya chakula cha usuku "

Mke wangu alizidi kuchanganyikiwa

Kisha akamtazama askari na kunirudishia macho yake. Alielewa kile nilikuwa najaribu kufanya.

"Sawa honey" Alitabasamu.

Askari aligeuka na kunitazama kisha akanisalimia sana Kisha akamuuliza mke wangu.

"Huyu ni mume wako?"

Mke wangu alitabasamu. Askari kaniangalia tena na tena

Kisha akatazama kwa mara ya mwisho na akatabasamu kwangu.

Mie Sikutabasamu hata kidogo

Tulipofika kwenye kituo tunachoshukia ili tupate kupanda basi lingine nilishuka kutoka kwenye basi na kumvuta mke wangu kwa nguvu.

Mke wangu alishindwa kujizuia kuacha kucheka. Tukiwa tunatembea huku nimemshika mkono nikamsikia akiuliza.

"Honey Gift ni nani? "

"Gift ni binti yetu wa baadae. Nilimjibu huku nimemkazia macho"

Mke wangu akacheka sana.

Tulipanda basi lingine na safari hii sikutaka tena kukaa mbali na mke wangu, na konda alipoomba nauli nilitoa chapu na kusema “wawili” tulitazamana na mke wangu tukajikuta tunacheka wote kwa pamoja, na jioni ilipofika tulilejea nyumbani na nambo yalikua bam bam na ugomvi wetu ukawa umeishia hapo.

NB: Unapompa mpenzi wako umbali, kiroho na kimwili, unampa shetani akae kwenye nafasi hiyo.
Anachukua nafasi yako bila ruhusa yako na anajijengea makao kwako.
Usiruhusu shetani awe na nafasi nyumbani kwako. funga njia zote za shetani kuweza kupitia.

Fanya uwepo wako ujulikane

Mungu aibariki ndoa yako na mahusiano yako

nili ona ni share hii post na weye baada ya nami ku isoma hapa mutandaoni labda ita saidiya mtu mmoja.

Ev. Bertin

Dieu nous bénit selon ses richesses et ses moyens, ça ne revient à nous de lui dire de quelle façon nous voulons qu'il l...
12/05/2024

Dieu nous bénit selon ses richesses et ses moyens, ça ne revient à nous de lui dire de quelle façon nous voulons qu'il le fasse.
Crois seulement et tu te verra arrivé là où tu voulais, ne cherche pas à savoir c'est dans quelle voie Dieu passera pour te faire arrivé; l'essentiel c'est que tu arrivera certainement car notre Dieu est bon et fidèle.

Merci

La valeur d'une vase et sa forme dépend de la volonté du potier, Ainsi j'aimerais dire à quelqu'un ta réussite ou ton éc...
22/04/2024

La valeur d'une vase et sa forme dépend de la volonté du potier,
Ainsi j'aimerais dire à quelqu'un ta réussite ou ton échec dépendra de Dieu et non de la volonté d'un homme ta vie est entre les mains de Dieu, comme l'argile dans les mains du potier!
Soyez bénit au nom de Jésus Christ !!!

04/04/2024

Les épreuves invisibles 🔥

Le combat contre l'ours et le Lion n'a pas fait connaître David au peuple. Pourtant, ces combats étaient l'entraînement et la préparation pour le grand combat contre Goliath.

Les pleurs de Anne étaient invisibles aux yeux des hommes, pourtant, grâce à elle, le grand Samuel a vu le jour.

Les épreuves invisibles sont les plates formes de préparation pour confirmer les épreuves visibles.

Celui qui gagne les épreuves dans l'invisible, fini par gagner les épreuves visibles.

Les épreuves invisibles sont les fondements et les RACINES des épreuves visibles.

Celui qui gagne face à l'impudicité, mensonge, trahison, vol, etc... dans le Secret fini par gagner les même épreuves dans le visible.

Ne négligeons jamais les épreuves invisibles, personne ne les voit, mais pourtant elles bâtissent vos fondements.

Jésus était seul dans le désert quand le diable essayé de le tenter, Jésus a vaincu le diable dans le secret et en fin à la croix devant le public il a triomphé.

Quand tu es seul, face aux épreuves invisibles, sache que ce que tu fais pose les fondements invisibles de tes victoires visibles.

Alors, même seul, reste concentré, parce que les jalons sont posés à chaque victoire invisible.

Évangéliste Bertin/E.P.A.A.C

Adresse

Ibanda
Bukavu
0017RUE№4BUKAVU

Téléphone

+243975274902

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Les Amis de Ev Bertin Basimika publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L’organisation

Envoyer un message à Les Amis de Ev Bertin Basimika:

Partager